Makapuku Forum

Makapuku Forum

1985 - Asamoah Gyan anazaliwa.

Ni straika wa zamani wa Sunderland ambaye kwasasa anakipiga Uarabuni.

Anakumbukwa kwa kukosa penati ambayo kama angeshinda Ghana ingekuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kuingia katika Nusu Fainali ya Kombe la Dunia.
upload_2016-11-22_9-11-23.jpeg

images
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom