Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Tutakuwa tunapita kmya POLIFIX FORUM...siyo salama tenaKweli aisee, yaani ni shida sana
......
Tutakuwa tunapita kmya POLIFIX FORUM...siyo salama tenaKweli aisee, yaani ni shida sana
Shida hakuna, ilikuwa kufikisha ujumbeNdio, kwani kuna shida???![]()
Ndiyo shida ya kuwapa madaraka watu bahiliAhaaaaaaaah bitoz![]()
![]()
![]()
![]()
sasa wale waliojiongezaa bora wawaachie
Ahsante mjumbeShida hakuna, ilikuwa kufikisha ujumbe
Pamoja mjumbeAhsante mjumbe
Nawe pia mkuuUsiku mwemaa bandugu
natafuta mchumba humu nitampata ?
mi naishi dar kibamba kama yumo nampeleka mpaka kwangu na siku hiyo tutakula ugali na kuku wa kuchoma maana ninafuga na ninajua kupika pia mimi ni dume

Duu me narud hom namngoja afanye
MWANAMKE WA MAREKANI UKITAKA KUMTISHA MWAMBIE UNA KANSA
MWANAMKE WA URUSI UKITAKATA KUMTISHA MWAMBIE UNA MALARIA
MWANAMKE WA CHINA UKITAKA KUMTISHA MWAMBIE UNA MAFUA
MWANAMKE WA TANZANIA UKITAKA KUMTISHA MWAMBIE SINA HELA
![]()

Watu tumechoka kabisa aisee .......eti "Pumbavu kabisa"