Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
BienJe comprends maintenant
Histoire de me donnerBien
Wrong sente..Histoire de me donner
Pourquoi ?Wrong sente..
teh teh tehDada mmoja alienda kununua kasuku akiwa amevaa mavazi ambayo yanamuacha nusu uchi. Alipofika kwa muuzaji akamkuta kasuku mzuri. Kabla hajamnunua akamjaribisha kwanza kama anaweza kuongea… So akamuuliza Kasuku, “Vp muonekano wangu.. naonekanaje?” Kasuku akajibu “Kama Kahaba”
Yule dada akakasirika, akamuambia muuzaji siwezi kumnunua kasuku wako kwa sababu hana adabu, labda umrerkebishe. Jamaa akamwambia yule dada subiri.. akamchukua kasuku akaenda nae ndani akamlowesha kwenye ndoo ya maji baridi… Kasuku akaomba msamaha.. Jamaa akamwambia “Sasa nakurudisha kwa yule dada, ukimjibu tena vibaya nakulowesha tena”
Aliporudi yule dada akamwuuliza Kasuku “Haya ngoja nikuulize tena… nikija na mwanaume mmoja nyumbani kwangu utasema ni nani?”
Kasuku: Mumeo
Dada: Wakiwa wawili??
Kasuku: Nitasema ni mumeo na mdogo wake yani shemeji yako
Dada: Wakiwa watatu?
Kasuku: Mumeo na mdogo wake na kaka yako.
Dada: Wakiwa wanne?
Kasuku: Boss tafadhali leta ndoo ya maji, Nshakuambia huyu ni Kahaba.!
Dada mmoja alienda kununua kasuku akiwa amevaa mavazi ambayo yanamuacha nusu uchi. Alipofika kwa muuzaji akamkuta kasuku mzuri. Kabla hajamnunua akamjaribisha kwanza kama anaweza kuongea… So akamuuliza Kasuku, “Vp muonekano wangu.. naonekanaje?” Kasuku akajibu “Kama Kahaba”
Yule dada akakasirika, akamuambia muuzaji siwezi kumnunua kasuku wako kwa sababu hana adabu, labda umrerkebishe. Jamaa akamwambia yule dada subiri.. akamchukua kasuku akaenda nae ndani akamlowesha kwenye ndoo ya maji baridi… Kasuku akaomba msamaha.. Jamaa akamwambia “Sasa nakurudisha kwa yule dada, ukimjibu tena vibaya nakulowesha tena”
Aliporudi yule dada akamwuuliza Kasuku “Haya ngoja nikuulize tena… nikija na mwanaume mmoja nyumbani kwangu utasema ni nani?”
Kasuku: Mumeo
Dada: Wakiwa wawili??
Kasuku: Nitasema ni mumeo na mdogo wake yani shemeji yako
Dada: Wakiwa watatu?
Kasuku: Mumeo na mdogo wake na kaka yako.
Dada: Wakiwa wanne?
Kasuku: Boss tafadhali leta ndoo ya maji, Nshakuambia huyu ni Kahaba.!
Kumi bora wapi?Dada mmoja alienda kununua kasuku akiwa amevaa mavazi ambayo yanamuacha nusu uchi. Alipofika kwa muuzaji akamkuta kasuku mzuri. Kabla hajamnunua akamjaribisha kwanza kama anaweza kuongea… So akamuuliza Kasuku, “Vp muonekano wangu.. naonekanaje?” Kasuku akajibu “Kama Kahaba”
Yule dada akakasirika, akamuambia muuzaji siwezi kumnunua kasuku wako kwa sababu hana adabu, labda umrerkebishe. Jamaa akamwambia yule dada subiri.. akamchukua kasuku akaenda nae ndani akamlowesha kwenye ndoo ya maji baridi… Kasuku akaomba msamaha.. Jamaa akamwambia “Sasa nakurudisha kwa yule dada, ukimjibu tena vibaya nakulowesha tena”
Aliporudi yule dada akamwuuliza Kasuku “Haya ngoja nikuulize tena… nikija na mwanaume mmoja nyumbani kwangu utasema ni nani?”
Kasuku: Mumeo
Dada: Wakiwa wawili??
Kasuku: Nitasema ni mumeo na mdogo wake yani shemeji yako
Dada: Wakiwa watatu?
Kasuku: Mumeo na mdogo wake na kaka yako.
Dada: Wakiwa wanne?
Kasuku: Boss tafadhali leta ndoo ya maji, Nshakuambia huyu ni Kahaba.!



Much respect Papaa, how are things going?Mithi u much papaa
Argentina kashinda

Dada mmoja alienda kununua kasuku akiwa amevaa mavazi ambayo yanamuacha nusu uchi. Alipofika kwa muuzaji akamkuta kasuku mzuri. Kabla hajamnunua akamjaribisha kwanza kama anaweza kuongea… So akamuuliza Kasuku, “Vp muonekano wangu.. naonekanaje?” Kasuku akajibu “Kama Kahaba”
Yule dada akakasirika, akamuambia muuzaji siwezi kumnunua kasuku wako kwa sababu hana adabu, labda umrerkebishe. Jamaa akamwambia yule dada subiri.. akamchukua kasuku akaenda nae ndani akamlowesha kwenye ndoo ya maji baridi… Kasuku akaomba msamaha.. Jamaa akamwambia “Sasa nakurudisha kwa yule dada, ukimjibu tena vibaya nakulowesha tena”
Aliporudi yule dada akamwuuliza Kasuku “Haya ngoja nikuulize tena… nikija na mwanaume mmoja nyumbani kwangu utasema ni nani?”
Kasuku: Mumeo
Dada: Wakiwa wawili??
Kasuku: Nitasema ni mumeo na mdogo wake yani shemeji yako
Dada: Wakiwa watatu?
Kasuku: Mumeo na mdogo wake na kaka yako.
Dada: Wakiwa wanne?
Kasuku: Boss tafadhali leta ndoo ya maji, Nshakuambia huyu ni Kahaba.!

Hamna, alikuwa nafasi ya sita kwenye kundi so angefungwa ingekuwa mbwai!!!.....akipita si ajabu akanyanyua KwapaUmeanza dharau
![]()
![]()
![]()
.....

America KusiniHamna, alikuwa nafasi ya sita kwenye kundi so angefungwa ingekuwa mbwai!!!.....akipita si ajabu akanyanyua Kwapa![]()
Google translation haiwezi kukupa sentensi iliyonyooka, french na kiingereza muundo wa sentensi hutofautianaComment êtes-vous les gars ?