Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Ameeen kubwaAhadi za Mungu ni kweli na amina
Ameeen kubwaAhadi za Mungu ni kweli na amina
Mambo niajeee kitabu
marahaba hujambo?Shkamooni
Safi vipi.Shkamooni
1941 - Katika Operesheni Barbarossa, wanajeshi wa Ujerumani waua wayahudi 9,000 ndani ya siku moja.
1960 - Ruby Bridges anakuwa mtoto wa kwanza mweusi kuandikishwa katika shule ya awali huko Lousiana ambayo ni ya watoto weupe tupu.
1984 - Meya wa Jiji la Zamboanga nchini Philipines, Cesar Climaco anauwawa na watu wasiojulikana.
Alikuwa ni mkosoaji mkubwa wa Rais wa nchi hiyo.
2010 - Mjerumani Sebastian Vettel wa timu ya RedBull anashinda mbio za langalanga ( Formula One ) na kuwa dereva mdogo zaidi kushinda mbio hizo.
hii iliwahi kunitokea aisee kipindi hicho niko form 2 nimetoka class form 2A nikaenda form 2C ebwana kidogo mwl huyu hapa akatoa adhabu darasa zima kung'oa bonge la kisiki plus viboko 3 ilibidi nimfingukie kuwa mi sihusiki

1985 - Thomas Vermaelen anazaliwa.
Ni beki wa Ubelgiji anayechezea klabu ya Roma kwa mkopo akitokea Barcelona.
Pia amewahi kukipiga Ajax na Arsenal.
Ni mchezaji aliyeshinda Uefa champions league akiwa na Barca bila kucheza mechi hata moja.