sammoo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 701
- 1,604
Calme mon jeune garcon
Hahaha...watu wanadharau sana.Kuna member kakuuliza unajua mpira? Nimecheka sana hilo swali
poa poaHongera mmbaba
Hivi unakumbuka ile time uko shule unatoka darasani kwako unaenda darasa jingine kufuata washkaji au dem wako ghafla anaingia mwalimu anasema everyone kneel down...........Kiherehere chako kinakuponza


Wee hujalala? Kalale leo mimi ndiye mlinzi wa zamu!!!

Mlinzi kabidhi lindo kumekuchaWee hujalala? Kalale leo mimi ndiye mlinzi wa zamu!!!![]()
Kapitiliza huyoMlinzi kabidhi lindo kumekucha
Habari mkuu QuigleyHello family
Njema bro shululuHabari mkuu Quigley
hii iliwahi kunitokea aisee kipindi hicho niko form 2 nimetoka class form 2A nikaenda form 2C ebwana kidogo mwl huyu hapa akatoa adhabu darasa zima kung'oa bonge la kisiki plus viboko 3 ilibidi nimfingukie kuwa mi sihusikiHivi unakumbuka ile time uko shule unatoka darasani kwako unaenda darasa jingine kufuata washkaji au dem wako ghafla anaingia mwalimu anasema everyone kneel down...........Kiherehere chako kinakuponza
Ahadi za Mungu ni kweli na amina
Mambo niajeee kitabuHai gaizi.............