Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,401 Mussolin5 said: 1986 - Samuel Wanjiru anazaliwa. Alikuwa ni mwanariadha wa mbio ndefu za Marathon toka nchini Kenya. Alishinda medali ya dhahabu katika michezo ya olimpiki mwaka 2008. Alifariki dunia mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 24 baada ya kujirusha kwenye ghorofa lake huko Nairobi. Click to expand...
Mussolin5 said: 1986 - Samuel Wanjiru anazaliwa. Alikuwa ni mwanariadha wa mbio ndefu za Marathon toka nchini Kenya. Alishinda medali ya dhahabu katika michezo ya olimpiki mwaka 2008. Alifariki dunia mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 24 baada ya kujirusha kwenye ghorofa lake huko Nairobi. Click to expand...
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,402 Mussolin5 said: 1992 - Wilfred Zaha anazaliwa. Winga wa Crystal Palace na timu ya taifa ya Uingereza. Alichemsha vibaya aliposajiliwa klabuni Man Utd. Alikuwa ni mchezaji wa mwisho kabisa kusajiliwa na Kocha Sir Alex Ferguson klabuni Man Utd kabla ya kocha huyo kustafu. Click to expand...
Mussolin5 said: 1992 - Wilfred Zaha anazaliwa. Winga wa Crystal Palace na timu ya taifa ya Uingereza. Alichemsha vibaya aliposajiliwa klabuni Man Utd. Alikuwa ni mchezaji wa mwisho kabisa kusajiliwa na Kocha Sir Alex Ferguson klabuni Man Utd kabla ya kocha huyo kustafu. Click to expand...
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,234 Reaction score 68,268 Nov 10, 2016 #125,403 Bitoz said: Alikuwemo kwenye kikosi kilichomaliza ligi bila kufungwa sijui 2003/04) .... Click to expand... Yah, alicheza kila dakika katika msimu ule waliochukua ubingwa bila kufungwa.
Bitoz said: Alikuwemo kwenye kikosi kilichomaliza ligi bila kufungwa sijui 2003/04) .... Click to expand... Yah, alicheza kila dakika katika msimu ule waliochukua ubingwa bila kufungwa.
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,404 Mussolin5 said: 2003 - Canaan Banana anafariki Dunia. Alikuwa ni Rais wa kwanza wa Zimbabwe. Click to expand...
Mussolin5 said: 2003 - Canaan Banana anafariki Dunia. Alikuwa ni Rais wa kwanza wa Zimbabwe. Click to expand...
Tetramelyz JF-Expert Member Joined Apr 25, 2014 Posts 4,369 Reaction score 12,469 Nov 10, 2016 #125,405 Mussolin5 said: Leo katika Historia: Kwa udhamini mnono wa Jimena Jimenez a.k.a Iron Lady. Siku njema. Click to expand... Shukran, Na kwako pia
Mussolin5 said: Leo katika Historia: Kwa udhamini mnono wa Jimena Jimenez a.k.a Iron Lady. Siku njema. Click to expand... Shukran, Na kwako pia
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,406 Mussolin5 said: 2009 - Robert Enke anajiua. Ni golikipa wa zamani wa Barcelona, Benfica, Hanover 96 na timu ya taifa ya Ujerumani. Alifariki akiwa na miaka 32 tu. Click to expand... Sad ........
Mussolin5 said: 2009 - Robert Enke anajiua. Ni golikipa wa zamani wa Barcelona, Benfica, Hanover 96 na timu ya taifa ya Ujerumani. Alifariki akiwa na miaka 32 tu. Click to expand... Sad ........
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,407 Mussolin5 said: 1483 - Martin Luther anazaliwa. Ni kiongozi na mwasisi wa kanisa la Protestant. Click to expand... Luther Lutheran KKKT .........
Mussolin5 said: 1483 - Martin Luther anazaliwa. Ni kiongozi na mwasisi wa kanisa la Protestant. Click to expand... Luther Lutheran KKKT .........
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,234 Reaction score 68,268 Nov 10, 2016 #125,408 Tetramelyz said: Shukran, Na kwako pia Click to expand... pamoja mkuu
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Nov 10, 2016 #125,409 Tetramelyz said: Mbona Mimi sikuusikia mtetemo? Click to expand... Utakufikia tu
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Nov 10, 2016 #125,410 shululu said: Umeamkaje pande hizo Click to expand... Poa shululu, habari za dar
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Nov 10, 2016 #125,411 livi livinus said: Na sisi tunakusalimiaa..kwema ukoo Click to expand... Kwema livi, mzima?
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Nov 10, 2016 #125,412 jonax said: Habari zenu? Click to expand... Poa jonax
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Nov 10, 2016 #125,413 Mussolin5 said: Leo Katika Historia: 1983 - Bill Gates anatambulisha window 1.0 Click to expand... Kitambo
Mussolin5 said: Leo Katika Historia: 1983 - Bill Gates anatambulisha window 1.0 Click to expand... Kitambo
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Nov 10, 2016 #125,414 Bitoz said: Nzuri aisee ...... Click to expand... Daah huyu ndo jonax nini!
Tetramelyz JF-Expert Member Joined Apr 25, 2014 Posts 4,369 Reaction score 12,469 Nov 10, 2016 #125,415 QUIGLEY said: Utakufikia tu Click to expand... Hebu nipe dondoo kidogo unakuwaje
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Nov 10, 2016 #125,416 QUIGLEY said: Daah huyu ndo jonax nini! Click to expand... Bitoz huyu hapa kocha wake akim-train QUIGLEY said: Poa jonax Click to expand...
QUIGLEY said: Daah huyu ndo jonax nini! Click to expand... Bitoz huyu hapa kocha wake akim-train QUIGLEY said: Poa jonax Click to expand...
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,419 jonax said: Bitoz huyu hapa kocha wake akim-trainView attachment 432060 Click to expand... Bora tu urudi kwa ngariba ukajibiwe maswali yako ......
jonax said: Bitoz huyu hapa kocha wake akim-trainView attachment 432060 Click to expand... Bora tu urudi kwa ngariba ukajibiwe maswali yako ......
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Nov 10, 2016 #125,420 Bitoz said: Bora tu urudi kwa ngariba ukajibiwe maswali yako ...... Click to expand... mwenyewe kasema "aulizwe swali lolote atajibu" Lakini nasha gaa kaulizwa "ulitolewa bikra lini" lakini kakataa kujibu
Bitoz said: Bora tu urudi kwa ngariba ukajibiwe maswali yako ...... Click to expand... mwenyewe kasema "aulizwe swali lolote atajibu" Lakini nasha gaa kaulizwa "ulitolewa bikra lini" lakini kakataa kujibu