Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
1986 - Samuel Wanjiru anazaliwa.
Alikuwa ni mwanariadha wa mbio ndefu za Marathon toka nchini Kenya.
Alishinda medali ya dhahabu katika michezo ya olimpiki mwaka 2008.
Alifariki dunia mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 24 baada ya kujirusha kwenye ghorofa lake huko Nairobi.
Alikuwa ni mwanariadha wa mbio ndefu za Marathon toka nchini Kenya.
Alishinda medali ya dhahabu katika michezo ya olimpiki mwaka 2008.
Alifariki dunia mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 24 baada ya kujirusha kwenye ghorofa lake huko Nairobi.
we jamaa hv hz storry haziishi tu?