Makapuku Forum

Makapuku Forum

1986 - Samuel Wanjiru anazaliwa.

Alikuwa ni mwanariadha wa mbio ndefu za Marathon toka nchini Kenya.

Alishinda medali ya dhahabu katika michezo ya olimpiki mwaka 2008.

Alifariki dunia mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 24 baada ya kujirusha kwenye ghorofa lake huko Nairobi.
 
dc5bb42fd7b5d574b8b19d47864c1096.jpg
we jamaa hv hz storry haziishi tu?
Nilikuwa napita hapa Makapuku kimya kimya, huku nikisubiri upepo uishe. LAKINI UMEONA HAITOSHI BADO UNANIANDAMA
 
1992 - Wilfred Zaha anazaliwa.

Winga wa Crystal Palace na timu ya taifa ya Uingereza.

Alichemsha vibaya aliposajiliwa klabuni Man Utd.

Alikuwa ni mchezaji wa mwisho kabisa kusajiliwa na Kocha Sir Alex Ferguson klabuni Man Utd kabla ya kocha huyo kustafu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom