Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,232 Reaction score 68,262 Nov 10, 2016 #125,381 1986 - Samuel Wanjiru anazaliwa. Alikuwa ni mwanariadha wa mbio ndefu za Marathon toka nchini Kenya. Alishinda medali ya dhahabu katika michezo ya olimpiki mwaka 2008. Alifariki dunia mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 24 baada ya kujirusha kwenye ghorofa lake huko Nairobi.
1986 - Samuel Wanjiru anazaliwa. Alikuwa ni mwanariadha wa mbio ndefu za Marathon toka nchini Kenya. Alishinda medali ya dhahabu katika michezo ya olimpiki mwaka 2008. Alifariki dunia mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 24 baada ya kujirusha kwenye ghorofa lake huko Nairobi.
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Nov 10, 2016 #125,382 Bitoz said: Click to expand... we jamaa hv hz storry haziishi tu? Nilikuwa napita hapa Makapuku kimya kimya, huku nikisubiri upepo uishe. LAKINI UMEONA HAITOSHI BADO UNANIANDAMA
Bitoz said: Click to expand... we jamaa hv hz storry haziishi tu? Nilikuwa napita hapa Makapuku kimya kimya, huku nikisubiri upepo uishe. LAKINI UMEONA HAITOSHI BADO UNANIANDAMA
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,383 Mussolin5 said: 1985 - Aleksandar Kolarov anazaliwa. Ni beki wa kushoto wa Man City na timu ya taifa ya Serbia. Anasifika kwa uwezo wake wa kupiga mashuti yenye kulenga goli. Click to expand...
Mussolin5 said: 1985 - Aleksandar Kolarov anazaliwa. Ni beki wa kushoto wa Man City na timu ya taifa ya Serbia. Anasifika kwa uwezo wake wa kupiga mashuti yenye kulenga goli. Click to expand...
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,232 Reaction score 68,262 Nov 10, 2016 #125,384 1992 - Wilfred Zaha anazaliwa. Winga wa Crystal Palace na timu ya taifa ya Uingereza. Alichemsha vibaya aliposajiliwa klabuni Man Utd. Alikuwa ni mchezaji wa mwisho kabisa kusajiliwa na Kocha Sir Alex Ferguson klabuni Man Utd kabla ya kocha huyo kustafu.
1992 - Wilfred Zaha anazaliwa. Winga wa Crystal Palace na timu ya taifa ya Uingereza. Alichemsha vibaya aliposajiliwa klabuni Man Utd. Alikuwa ni mchezaji wa mwisho kabisa kusajiliwa na Kocha Sir Alex Ferguson klabuni Man Utd kabla ya kocha huyo kustafu.
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,385 jonax said: we jamaa hv hz storry haziishi tu? Nilikuwa napita hapa Makapuku kimya kimya, huku nikisubiri upepo uishe. LAKINI UMEONA HAITOSHI BADO UNANIANDAMA Click to expand...
jonax said: we jamaa hv hz storry haziishi tu? Nilikuwa napita hapa Makapuku kimya kimya, huku nikisubiri upepo uishe. LAKINI UMEONA HAITOSHI BADO UNANIANDAMA Click to expand...
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Nov 10, 2016 #125,386 Bitoz said: Click to expand...
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,232 Reaction score 68,262 Nov 10, 2016 #125,387 2003 - Canaan Banana anafariki Dunia. Alikuwa ni Rais wa kwanza wa Zimbabwe.
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,388 Mussolin5 said: 1978 - Eve anazaliwa. Ni rapa wa muziki toka nchini Marekani. Click to expand...
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,232 Reaction score 68,262 Nov 10, 2016 #125,389 2009 - Robert Enke anajiua. Ni golikipa wa zamani wa Barcelona, Benfica, Hanover 96 na timu ya taifa ya Ujerumani. Alifariki akiwa na miaka 32 tu.
2009 - Robert Enke anajiua. Ni golikipa wa zamani wa Barcelona, Benfica, Hanover 96 na timu ya taifa ya Ujerumani. Alifariki akiwa na miaka 32 tu.
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,390 Mussolin5 said: 1973 - Patrik Berger anazaliwa. Ni kiungo wa zamani wa Borussia Dortmund, Liverpool, Aston Villa na timu ya taifa ya Jamhuri ya Czech. Click to expand...
Mussolin5 said: 1973 - Patrik Berger anazaliwa. Ni kiungo wa zamani wa Borussia Dortmund, Liverpool, Aston Villa na timu ya taifa ya Jamhuri ya Czech. Click to expand...
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,391 Mussolin5 said: 1969 - Jens Lehman anazaliwa. Ni golikipa wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ujerumani. Click to expand... Alikuwemo kwenye kikosi kilichomaliza ligi bila kufungwa sijui 2003/04) ....
Mussolin5 said: 1969 - Jens Lehman anazaliwa. Ni golikipa wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ujerumani. Click to expand... Alikuwemo kwenye kikosi kilichomaliza ligi bila kufungwa sijui 2003/04) ....
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,232 Reaction score 68,262 Nov 10, 2016 #125,392 1483 - Martin Luther anazaliwa. Ni kiongozi na mwasisi wa kanisa la Protestant.
Tetramelyz JF-Expert Member Joined Apr 25, 2014 Posts 4,369 Reaction score 12,469 Nov 10, 2016 #125,393 jonax said: Habari zenu? Click to expand... Poa hujambo dgg
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,394 Mussolin5 said: 1969 - Faustino Asprilla anazaliwa. Ni straika wa zamani wa Newcastle United, Parma na timubya taifa ya Colombia. Click to expand...
Mussolin5 said: 1969 - Faustino Asprilla anazaliwa. Ni straika wa zamani wa Newcastle United, Parma na timubya taifa ya Colombia. Click to expand...
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,232 Reaction score 68,262 Nov 10, 2016 #125,395 Leo katika Historia: Kwa udhamini mnono wa Jimena Jimenez a.k.a Iron Lady. Siku njema.
Tetramelyz JF-Expert Member Joined Apr 25, 2014 Posts 4,369 Reaction score 12,469 Nov 10, 2016 #125,396 QUIGLEY said: Dunia sasa ime shake kwa ujio wa Trump Click to expand... Mbona Mimi sikuusikia mtetemo?
QUIGLEY said: Dunia sasa ime shake kwa ujio wa Trump Click to expand... Mbona Mimi sikuusikia mtetemo?
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 10, 2016 #125,397 Mussolin5 said: Leo Katika Historia: 1983 - Bill Gates anatambulisha window 1.0 Click to expand...
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Nov 10, 2016 #125,398 Tetramelyz said: Poa hujambo dgg Click to expand... Thijambo dog
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Nov 10, 2016 #125,399 Morning wakuu Naomba mtu anisaidie kupost magazeti hadi nitakapokaa sawa, simu inazingua sana toka jana
Morning wakuu Naomba mtu anisaidie kupost magazeti hadi nitakapokaa sawa, simu inazingua sana toka jana
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Nov 10, 2016 #125,400 Mussolin5 said: 1978 - Eve anazaliwa. Ni rapa wa muziki toka nchini Marekani. Click to expand... Msela Happy Birthday Eve
Mussolin5 said: 1978 - Eve anazaliwa. Ni rapa wa muziki toka nchini Marekani. Click to expand... Msela Happy Birthday Eve