Makapuku Forum

1986 - Samuel Wanjiru anazaliwa.

Alikuwa ni mwanariadha wa mbio ndefu za Marathon toka nchini Kenya.

Alishinda medali ya dhahabu katika michezo ya olimpiki mwaka 2008.

Alifariki dunia mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 24 baada ya kujirusha kwenye ghorofa lake huko Nairobi.
 
1992 - Wilfred Zaha anazaliwa.

Winga wa Crystal Palace na timu ya taifa ya Uingereza.

Alichemsha vibaya aliposajiliwa klabuni Man Utd.

Alikuwa ni mchezaji wa mwisho kabisa kusajiliwa na Kocha Sir Alex Ferguson klabuni Man Utd kabla ya kocha huyo kustafu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…