Makapuku Forum

Makapuku Forum

2000 - Eric Morley anafariki Dunia.

Ni mwanzilishi wa Mashindano ya Miss World.
05e34cfc57c8b0bc068f23c46d2fcd27.jpg
b897ecf6cbe2e8c0131fb5cc805cdea7.jpg
 
Vyanzo mbalimbali vya habari vinasema kuwa aliamua kuiua familia yake kutokana na umaskini aliodai umemkabili kufikia kushindwa kuihudumia familia yake.

Lakini baada ya kuiua familia yake alioa mke mwingine na kubadili jina na kwenda kuishi mji mwingine mpaka pale alipokamatwa miaka 18 baada ya kufanya mauaji yale ya kinyama.

Alihukumiwa kifungo cha maisha gerezani na kabla ya kupotea maisha akiwa anatumikia kifungo chake.
Umeeleweka
Ngoja nipumzike...tukutane baadaye kwenye katuni za Cheka na Bitoz
...............
 
1948 - Luis Felipe Scolari anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa Chelsea, Ureno na timu ya taifa ya Brazil.

Aliipa Brazil ubingwa wa Dunia mwaka 2002.

Aliiongoza Brazil katika michuano ya kombe la dunia iliyofanyika katika ardhi ya nyumbani na kutolewa katika Nusu fainali na Ujerumani kwa kipigo cha 7-1.
Kwa aibu
 
1974 - Del Piero anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Italy.

Moja kati ya wachezaji bora wa wakati wote Italy imewahi kuwa nayo.

Mfungaji bora wa wakati wote katika Serie A.

Ametwaa kombe la dunia mwaka 2006 akiwa na Italy iliyosheheni mastaa kama Pirlo, Totti, Luca Toni, Fabio Grosso, Materazzi, bila kumsahau Gigi Buffon.
HBD Del pielo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom