Makapuku Forum

Makapuku Forum

1d40a011fb406527f1dc0269ba177215.jpg

Full Time
Azam wapo Xtra Time

Kweli bundi ni ndege mwenye kuleta mikosi now yupo Mtaa wa Msimbazi

Tukutane kesho Yanga v Ruvu
Tutapunguza gap liwe Pts 2

..........
 
1948 - Luis Felipe Scolari anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa Chelsea, Ureno na timu ya taifa ya Brazil.

Aliipa Brazil ubingwa wa Dunia mwaka 2002.

Aliiongoza Brazil katika michuano ya kombe la dunia iliyofanyika katika ardhi ya nyumbani na kutolewa katika Nusu fainali na Ujerumani kwa kipigo cha 7-1.
 
1960 - Andreas Brehme anazaliwa.

Ni beki wa kushoto wa zamani wa Bayern Munich, Inter Milan na timu ya taifa ya Ujerumani.

Alisifika kwa kuwa mmoja kati ya wachezaji wachache waliokuwa na uwezo wa kutumia miguu yote miwili kwa ufasaha.

Anakumbukwa kwa kufunga goli pekee kwa penati katika fainali ya kombe la dunia mwaka 1990 na kuipa taji Ujerumani dhidi ya Argentina ya Diego Maradona.

Penati hiyo ilipatikana dk ya 85, wachezaji wa Ujerumani wengi wao wakaogopa kupiga yeye akapiga na kuipa ubingwa nchi yake.
 
1974 - Del Piero anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Italy.

Moja kati ya wachezaji bora wa wakati wote Italy imewahi kuwa nayo.

Mfungaji bora wa wakati wote katika Serie A.

Ametwaa kombe la dunia mwaka 2006 akiwa na Italy iliyosheheni mastaa kama Pirlo, Totti, Luca Toni, Fabio Grosso, Materazzi, bila kumsahau Gigi Buffon.
 
1948 - Luis Felipe Scolari anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa Chelsea, Ureno na timu ya taifa ya Brazil.

Aliipa Brazil ubingwa wa Dunia mwaka 2002.

Aliiongoza Brazil katika michuano ya kombe la dunia iliyofanyika katika ardhi ya nyumbani na kutolewa katika Nusu fainali na Ujerumani kwa kipigo cha 7-1.
1a1895cb0d16cdc86ed9817e56c527f5.jpg
5b0901cdbc850f934f27369d65677719.jpg
 
Leo katika Historia:

If u can't beat him, join him.

Sikumuunga mkono Trump lakini ameshinda hivyo sina budi kumuunga mkono kama Rais mpya wa Marekani.

Kwa udhamini mnono wa Donald Trump a.k.a Usiyempenda kaja niwatakie jioni njema.
 
1960 - Andreas Brehme anazaliwa.

Ni beki wa kushoto wa zamani wa Bayern Munich, Inter Milan na timu ya taifa ya Ujerumani.

Alisifika kwa kuwa mmoja kati ya wachezaji wachache waliokuwa na uwezo wa kutumia miguu yote miwili kwa ufasaha.

Anakumbukwa kwa kufunga goli pekee kwa penati katika fainali ya kombe la dunia mwaka 1990 na kuipa taji Ujerumani dhidi ya Argentina ya Diego Maradona.

Penati hiyo ilipatikana dk ya 85, wachezaji wa Ujerumani wengi wao wakaogopa kupiga yeye akapiga na kuipa ubingwa nchi yake.
4b368d7e951d96c0c7ec5e57238c43d2.jpg
496da300627ed08c12452db761cdf649.jpg
47482b4f0370f50841abe64958e3f556.jpg
 
aa84e31d0972eac4d1af1f9d887e7a6f.jpg
709fb5a6661f8ca0ee60b194a68ca3ab.jpg

Kisa?
...
Vyanzo mbalimbali vya habari vinasema kuwa aliamua kuiua familia yake kutokana na umaskini aliodai umemkabili kufikia kushindwa kuihudumia familia yake.

Lakini baada ya kuiua familia yake alioa mke mwingine na kubadili jina na kwenda kuishi mji mwingine mpaka pale alipokamatwa miaka 18 baada ya kufanya mauaji yale ya kinyama.

Alihukumiwa kifungo cha maisha gerezani na kabla ya kupotea maisha akiwa anatumikia kifungo chake.
 
1974 - Del Piero anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Italy.

Moja kati ya wachezaji bora wa wakati wote Italy imewahi kuwa nayo.

Mfungaji bora wa wakati wote katika Serie A.

Ametwaa kombe la dunia mwaka 2006 akiwa na Italy iliyosheheni mastaa kama Pirlo, Totti, Luca Toni, Fabio Grosso, Materazzi, bila kumsahau Gigi Buffon.
8cd180d5c7fe6cd299ee30fbb5b6473b.jpg
9f08a4bf420804cf9eef3270e5e388c7.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom