Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
Hongereni kwa kuvuna point 3Sijaenda ht kibanda umiza
Naangalia online tu LIVE
Nimechoshwa na upuuzi
Furaha yangu leo ni kufa kwa ngebe za wang'oa viti
.....
Hongereni kwa kuvuna point 3Sijaenda ht kibanda umiza
Naangalia online tu LIVE
Nimechoshwa na upuuzi
Furaha yangu leo ni kufa kwa ngebe za wang'oa viti
.....
Tulicheza vizuri kipindi cha kwanza, kipindi cha pili hatukuwa vizuri.Mussolin tathimini yako ikoje baada ya ushindi wa leo
Nilishawahi sema magoli yenu mengi ni ya adhabu,kona + penalty yaani hamna straika wa maanaHongereni kwa kuvuna point 3
Tulicheza vizuri kipindi cha kwanza, kipindi cha pili hatukuwa vizuri.
Carrick ni mtu muhimu sana anapaswa kupewa muda kwenye kikosi Maana anajua kuituliza timu, si unajua safari bila wazee hainogi.
Point 3 za leo zitatu-boost kwenye mechi ijayo dhidi ya Arsenal.
Nafasi bado tunayo...
Basi sawa.Nilishawahi sema magoli yenu mengi ni ya adhabu,kona + penalty yaani hamna straika wa maana
Mifugo ni jipu.....pia nilisema ikifokea timu ikicheza kibishi km Mbao Fc siku ile basi mtafungwa palepale Uhuru(yametimia)
.......
Yap, Ot.![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbe tutacheza na ArsayNO
.....
Tuko wengiNilijua peke yangu
Yap, mechi ijayo nitakuwa chattle siku hiyo![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbe tutacheza na ArsayNO
.....

Hapa nilipo sina mbavu.