Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Wanafanya mgomo niniKocha alikuja kwa mbwembwe sana yule wa azam.
Alisema azam nzima mchezaji mmoja tu
Pia mimi aiseeNow 2.
Sipati kabisa notification
Hapa nabahatisha tu. Jamaa wanazingua hawaPia mimi aisee
Wanafanya mgomo nini
Siku hizi umepata demu sasa kila swahiba wako unamwita dogo![]()
. tulia dogo
Kwa wewe shemeji yako humjui swahiba?Siku hizi umepata demu sasa kila swahiba wako unamwita dogo
![]()
![]()
![]()
......
Mazoezi muhimu
![]()
Kitendo chao cha kufungwa na kibonde kimekaribisha nuksi/bundi
Sasa tutaheshimiana
Azam hawana kocha
![]()
![]()
![]()
.......

Sijaenda ht kibanda umiza
Maigizo tena duuhWa maigizo
![]()
![]()
![]()
......
Hata mimiNow 2.
Sipati kabisa notification
Nilijua peke yanguHata mimi
Ungeenda tuSijaenda ht kibanda umiza
Naangalia online tu LIVE
Nimechoshwa na upuuzi
Furaha yangu leo ni kufa kwa ngebe za wang'oa viti
.....
Mussolin tathimini yako ikoje baada ya ushindi wa leo