Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
1945 - Gerd Muller anazaliwa.
Ni staa wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.
Anafahamika kama " The Bomber of the Nation ".
Alitamba sana katika kombe la dunia la mwaka 1974 lililofanyika katika ardhi ya nyumbani na kutwaa ubingwa huo kando ya staa mwenzake Franz Backenbaeur " The kaiser ".
1948 - Lulu anazaliwa.
Ni mtunzi na mwanamuziki toka nchini Scotland.
1963 - Ian Wright anazaliwa.
Ni staa wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya England.
Ni mfungaji wa pili katika historia ya klabu ya Arsenal.
1996 - Jean Bedel Bokassa anafariki.
Rais wa pili wa Afrika ya Kati.
Moja kati ya Marais waliotawala kibabe na wenye utata mkubwa.
Inasemekana alikuwa anakula nyama za watu, japo hakuna uthibitisho rasmi.
1971 - Dwight Yorke anazaliwa.
Staa wa zamani wa Man Utd na timu ya taifa ya Trinidad na Tobago.
Klabuni Man Utd alitengeneza kombinesheni matata na Andy Cole.
Alitwaa klabu ubingwa ya Ulaya mwaka 1999.
1979 - Pablo Aimar anazaliwa.
Staa wa zamani wa River Plate, Valencia, Zaragoza na timu ya taifa ya Argentina.
Wakati anachipukia alitajwa kama Diego Maradona mpya kutokana na uwezo wake mkubwa wa ku-dribble mpira, kumiliki na kutoa pasi zenye macho.
Moja kati ya Wachezaji walioshindwa kufikia matarajio ya vipaji vyao kando ya nyota wengine kama Javier Saviola, Ricardo Quaresma, Joe Cole n.k.
1996 - Jean Bedel Bokassa anafariki.
Alikuwa ni Rais wa pili wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Alijiita Rais wa Maisha. Pia alikuwa ni Jenerali katika Jeshi la Nchi hiyo.
Moja kati ya Marais waliotawala kibabe na wenye utata mkubwa.
Inasemekana alikuwa anakula nyama za watu, japo hakuna uthibitisho rasmi.
Poa Kitabu, Leta khabariza muda huu kapukuz?
Pamoko sanaWakuu za jioni, poleni na majukumu. Ubize wa hapa na pale umenifanya niingie JF saa hizi.
Bila kupoteza muda tuangazie kilichojiri leo miaka iliyopita.
Nikadhani Lulu Michael1948 - Lulu anazaliwa.
Ni mtunzi na mwanamuziki toka nchini Scotland.
HBD Ian, hivi huyu ndie babaye shawn Philips???1963 - Ian Wright anazaliwa.
Ni staa wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya England.
Ni mfungaji wa pili katika historia ya klabu ya Arsenal.
Alikuwa tajiri wa kutupwa!!!1996 - Jean Bedel Bokassa anafariki.
Alikuwa ni Rais wa pili wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Alijiita Rais wa Maisha. Pia alikuwa ni Jenerali katika Jeshi la Nchi hiyo.
Moja kati ya Marais waliotawala kibabe na wenye utata mkubwa.
Inasemekana alikuwa anakula nyama za watu, japo hakuna uthibitisho rasmi.
Ahsante kwa leo katika historia kwa hisani ya Mbeya cityLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Mbeya city, Mbombo ngafu. Jioni njema.
teh teh tehNikadhani Lulu Michael
Wa kufikia/kamboHBD Ian, hivi huyu ndie babaye shawn Philips???
Yah...ila sio wa kumzaaHBD Ian, hivi huyu ndie babaye shawn Philips???