Makapuku Forum

1981 - Milan Baros anazaliwa.

Ni mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Aston Villa, Portsmouth na timu ya taifa ya Jamhuri ya Czech.

Alichukua ubingwa wa ulaya akiwa na Liverpool mwaka 2005.

Pia mwaka 2008 alichukua ubingwa wa kombe la F.A akiwa na klabu ya Portsmouth.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…