1981 - Milan Baros anazaliwa.
Ni mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Aston Villa, Portsmouth na timu ya taifa ya Jamhuri ya Czech.
Alichukua ubingwa wa ulaya akiwa na Liverpool mwaka 2005.
Pia mwaka 2008 alichukua ubingwa wa kombe la F.A akiwa na klabu ya Portsmouth.