Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kwel mkuu,
Ila mm naona makosa haya huenda ndo yakawa fundisho kwetu na tukapata solution ya ushindi.

Hivyo points 6 ni chache mno.

Kosa analoganya morinho ni kumchezesha felain na kumuacha nje Mata.

Embu anaglia baada ya kuingia Mata utaona jinsi tulivyopamiliki pale kati na hata kushambulia zaidi
Domourinho hajifunzi
Fella nzuri km time imebaki tu basi maana ni mzito..... Km timu inashambulia hafai kabisa
Tusubiri mechi na City tionekm FALAini litapangwa tena maana linamfanya Pogba awe garasa
Tukutane asubuhi
Nina hasira
.................
 
Domourinho hajifunzi
Fella nzuri km time imebaki tu basi maana ni mzito..... Km timu inashambulia hafai kabisa
Tusubiri mechi na City tionekm FALAini litapangwa tena
Tukutane asubuhi
Nina hasira
.................
Aiseee Usiku mwema,
maana hata mm nmechafukwa sana.. na nnaona kabisa kuwa nneshaanza kujibu mbovu thread nyingine huko
 
Nilimtembelea rafiki yangu nyumbani kwake mida ya saa saba hivi na tayari alikuwa karibu kusonga ugali.
Nikamtime wakati alipotoka nje, nikaongeza maji kwenye sufuria kumbe sikujua alipima maji kulingana na unga uliobaki. Sasa ikabidi tunywe uji huku hatuongeleshani.

kumbe maisha hayapendi ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom