shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Dogo kachemshaToa kwanza Lingard lijinga
.......
Dogo kachemshaToa kwanza Lingard lijinga
.......
Umewakamata sanaGame ipo poa tu
Magoli tumefungwa kutokana na kukosa umakini
Chelsea siyo time ya kutisha
Toa Linga rd mapema kabisa
...........
Naona kama man u wanatatizo la mfungajiGame limeishakufa
TUMEFUNGWA
.............
Tumefungwa hayo menvine hayana ishuNaona kama man u wanatatizo la mfungaji
Kwel, mpemba anastahili apangwe strikerTumefungwa hayo menvine hayana ishu
Mpemba anastahili apangwe striker
........
Tatizo kocha anapanga timu ovyoovyoKwel, mpemba anastahili apangwe striker
Jumatano unacheza man cityTatizo kocha anapanga timu ovyoovyo
Ibra siyo mbovu tatizo lipo pale kati anambeba sana Fella matokeo yake Pogba anaonekana garasa halafu Ibra anakosa mtu wa kumpa mipira
Kwahiyo KIUNGO kocha anahatibu sana hata kipigo cha Man City
Inashangaza maana bechi lipo full
............
[emoji19] janga lingine tena hiliJumatano unacheza man city
Jumatano unacheza man city
Ni Carling Cup[emoji19] janga lingine tena hili
[emoji35] hivi huyu Morinho hajui kuwa sisi mashabiki ndo tunayeumia kuliko yeye?Ni Carling Cup
Km kawa atalianzisha FALAini
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
Ni kipindi cha mpito tu[emoji35] hivi huyu Morinho hajui kuwa sisi mashabiki ndo tunayeumia kuliko yeye?
Upuuzi mtupu
Tunao wachezaji wazuri sana...Ni kipindi cha mpito tu
Leo unamtukana tenaTunao wachezaji wazuri sana...
Why tunafeli?
Club yetu ndo club inayoongoza ulomwenguni kwa pesa, kwann tunafeli?
*** u Morinho
Hivi Kati yaTunao wachezaji wazuri sana...
Why tunafeli?
Club yetu ndo club inayoongoza ulomwenguni kwa pesa, kwann tunafeli?
*** u Morinho
Mmh! Ni mapema sana kuzungumzia hili coz kila mtu hapa kaleta kikombe kimoja.Hivi Kati ya
Moyes
Luis
Na
Josee
Ni nani ana nafuu?
Yani kwa stress aliyonipa leo Man U, bas nmeamua kulewa tuLeo unamtukana tena
Tulia wwMmh! Ni mapema sana kuzungumzia hili coz kila mtu hapa kaleta kikombe kimoja.
Ila ngoja kwanza tusubiri mpk ligi iishe ndo tujue nani ni zaidi
Maana morinho huwezi mlaumu coz n bado mapema sana
Ni kwel mkuu,Tulia ww
Wa juu na wanaoongoza ligi wana pts 20,sisi 14 GAP = 6 pts
Big match ambazo hatujacheza ni
V Arsenal
V Spurs
Mechi kubwa pekee ruliyocheza home ni v Man City
Japo Chelsea siyo wazuri lakini tujolaumu kufungwa kibwege na Watford zile point leo zingetusaisia sana onatakiwa tuwe tunatembeza vichapo kwa vibonde wote
...