Makapuku Forum

Makapuku Forum

2005 - Stella Obasanjo anafariki dunia.

Alikuwa ni mke wa Rais wa zamani wa Nigeria, Olesegun Obasanjo.
Screenshot_2016-10-23-14-32-28.png
Screenshot_2016-10-23-14-32-53.png
IMG_20161023_143319.jpeg
 
2005 - Stella Obasanjo anafariki dunia.

Alikuwa ni mke wa Rais wa zamani wa Nigeria, Olesegun Obasanjo.
Huyu mama kifo chake kilisababishwa na urembo,
Yaani alienda ufaransa(hospital) kufanyiwa operation ilo aondolewe mafuta tumboni(kitambi) hivyo mistake zikatokea hapo na kifo chake kutokea
 
Usikariri wewe..
[emoji2] Tulia uone
Toto akocheza kikauzu km ndugu zao(Mbao) hamfungi hata kagoli kamoja
Akicheza kipuuzipuuzi mtashindi nyingi.....kumbuka magoli yenu mengi ni ya faulo,kona,penalty so wacheze rafu za mapema katikati ya uwanja
Hizi ndo faulo za kimpira/taktiki za kijanja siyo za ovyoovyo karibu na box
...............
 
Toto akocheza kikauzu km ndugu zao(Mbao) hamfungi hata kagoli kamoja
Akicheza kipuuzipuuzi mtashindi nyingi.....kumbuka magoli yenu mengi ni ya faulo,kona,penalty so wacheze rafu za mapema katikati ya uwanja
...............
[emoji12] nasikia Yanga mnazilipa hizi team ndogo milioni 3 kila tunapocheza nao.
Nia yenu ili watukazie
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom