Makapuku Forum

Makapuku Forum

1947 - Mgogoro wa Kashmir waanza rasmi.

Ni mgogoro wa kugombania mpaka kati ya Pakistan na India.
IMG_20161022_122026.jpeg
IMG_20161022_122044.jpeg
 
1943 - Seif Shariff Hamad anazaliwa.

Ni katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF.

Alipata kushika wadhifa wa kuwa Waziri Kiongozi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Pia alishika wadhifa wa Makamu wa kwanza wa Rais katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.

Anatajwa kama mwanasiasa anayekubalika sana huko Visiwani licha ya kutoka kwake Upinzani.

Mwaka 1998 alikamatwa pamoja Hamad Rashid na kuwekwa Kizuizini kwa makosa ya kutaka kupindua Serikali ya Rais Salmin Juma Komandoo.
 
Back
Top Bottom