shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Profesa1949 - Arsene Wenger anazaliwa.
Ni kocha wa Arsenal toka nchini Ufaransa.
Ni mmoja kati ya makocha wanaoheshimika sana katika ligi kuu ya England.
Anakumbukwa kwa kuiongoza Arsenal kuchukua ubingwa wa EPL bila kufungwa katika msimu wa 2003/04.