Makapuku Forum

Makapuku Forum

1943 - Seif Shariff Hamad anazaliwa.

Ni katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF.

Alipata kushika wadhifa wa kuwa Waziri Kiongozi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Pia alishika wadhifa wa Makamu wa kwanza wa Rais katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.

Anatajwa kama mwanasiasa anayekubalika sana huko Visiwani licha ya kutoka kwake Upinzani.

Mwaka 1998 alikamatwa pamoja Hamad Rashid na kuwekwa Kizuizini kwa makosa ya kutaka kupindua Serikali ya Rais Salmin Juma Komandoo.
ef107dd5eff1252fabd2054131b2bc64.jpg
IMG_20161022_124221.jpeg
IMG_20161022_124204.jpeg
 
Leo katika Historia:

Zimebaki siku 70 kabla ya mwaka huu kufikia tamati.

Kwa udhamini mnono wa Kagera Sugar " Wanankurukumbi " niwatakie Jumamosi njema na sabato njema kwenu.
Kamsome mzee wa feki kaporomosha yake
Anasifiwa ana IQ kubwa
Nafikiri kakuzidi X 10000
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.......
 
Back
Top Bottom