Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji41] Yeezus nakisalimia[emoji119] [emoji119]
Inakuwaje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
uchochezi
triumph.png
 
Upuuzi tu ule
Angesubiri wazike ndo aseme alifiwa
Keshaharibu maama huko msibani watamtafuta na wapenda sifa watapost hadi picha za maiti/kaburi
Naona akufikiria now huko Ilomba kila mtu ataijua Id yake
Mimi pia hapo Ilomba kuna ndugu zangu nahisi pia wapo humuhumu Jf

Kwanza mimi msibani huwa siandiki jina langu halisi kwenye rambirambi naweza andika tu feki mfano KIAZI MVIRINGO inatosha

.............
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Ni kweli..
JF ukishafahamika tu, unakuwa hauko huru tena
Eg. Mm nligundua Id ya ma mdogo wangu na jinsi anavyopost Jf utumbo basi ikawa kero kwangu ila mwisho wa siku nilibidi nibasilishe password zake ili ashindwe kuingia then afungue mpya.
Sometime nilikuwa namchokoza Pm(kwa sababu hanijui) basi alikuwa yuko slope sana..
Kilichofuata ni kuzngua tu account yake
Pole Kikofia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom