Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Pia mtu wako wa karibu anaweza kuijua ID maana kuna muda mtu unajisahau zen anakaa kimya anakuchora na kuja kuzingua post zakoUnaweza ukamzungua mtu kumbe ana umri sawa na babu yako.
Pengine unaweza ukazinguana na Mo dewji bila hata kumfaham.
Unaweza ukazinguana na rais, waziri bila hata kuwajua
JF imeleta usawa
Km unatukana na kupost utumbo Jf huwezi kuwa na amani na simu yako
......