Makapuku Forum

Halafu kitambulisho cha Bima nilikikitafuta hadi uvunguni sijakipata...huwa nakitegemea
Leo mifuko itatoboka
........
Kina umuhim wake sema basi tuu.. Watu wenyewe kuumwa mpaka miaka 10 ikatke..
 
Sina kawaida ya kuumwaumwa ndio maana kitambulisho sojakiona
Mara ya mwisho kwenda hospito ni mwk jana nilipata kaajali nilikichoma msumari hivyo tetenus ilihusika
.........
[emoji23] maigizo ya rambi rambi yamepamba moto

Bitoz katoa 550000
Shululu katoa 700000
Makaveli katoa 420000

[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] maigizo ya rambi rambi yamepamba moto

Bitoz katoa 550000
Shululu katoa 700000
Makaveli katoa 420000

[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Upuuzi tu ule
Angesubiri wazike ndo aseme alifiwa
Keshaharibu maama huko msibani watamtafuta na wapenda sifa watapost hadi picha za maiti/kaburi
Naona akufikiria now huko Ilomba kila mtu ataijua Id yake
Mimi pia hapo Ilomba kuna ndugu zangu nahisi pia wapo humuhumu Jf

Kwanza mimi msibani huwa siandiki jina langu halisi kwenye rambirambi naweza andika tu feki mfano KIAZI MVIRINGO inatosha

.............
 
[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…