Makapuku Forum

Makapuku Forum

3.Gautama Buddha;
alikuwa mwalimu wa kiroho kutoka India.

Kutokana na mafundisho yake, ulianzishwa Ubuddha ambao unatazamwa kwa kawaida kuwa dini.Katika mapokeo mengi ya Kibuddha anatazamwa kama Buddha mkuu wa wakati wetu, ambapo "Buddha" maana yake ni "aliyeamshwa" au "aliyeangazwa.

Miaka yake ya kuishi haina hakika: wanahistoria wengi wa mwanzo wa karne ya 20 walitaja miaka 563 KK hadi 483 KK hivi,lakini maoni ya siku hizi yanataja mwaka wa kufariki kati ya 486 KK na 483 KK au, hata kati ya 411 KK na 400 KK.

Gautama, anayejulikana pia kama Śākyamuni ("Mwenye hekima wa Śākyas"), ni mwalimu mkuu wa Ubuddha.
2120.jpg
Ni mmoja kati ya walimu nnaowakubali zaidi waliowahi kuwepo hapa ulimwenguni
 
Kuna mshikaji wangu anapokea bumu 19000 kwa semester
[emoji23] anasema hiyo hela haitaki tena
Nakumbushia tu


[emoji652][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652]


Uchaguzi wa mwaka jana 2015 tulipewa option mbili kwenye suala la Elimu

(1). ELIMU BURE MPAKA CHUO KIKUU
(2). ELIMU BURE MPAKA FORM FOUR

watanzania waliowengi walichagua elimu bure mpaka form four labda walijipanga nakuona Elimu kuanzia Advanced mpaka chuo kikuu wanaweza kujigaramia. Nashindwa kuelewa ivi haya malalamiko yanayotolewa kwa wanafunzi zaidi ya 66 elfu kukosa mkopo yanatoka wapi.
 
Nakumbushia tu


[emoji652][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652]


Uchaguzi wa mwaka jana 2015 tulipewa option mbili kwenye suala la Elimu

(1). ELIMU BURE MPAKA CHUO KIKUU
(2). ELIMU BURE MPAKA FORM FOUR

watanzania waliowengi walichagua elimu bure mpaka form four labda walijipanga nakuona Elimu kuanzia Advanced mpaka chuo kikuu wanaweza kujigaramia. Nashindwa kuelewa ivi haya malalamiko yanayotolewa kwa wanafunzi zaidi ya 66 elfu kukosa mkopo yanatoka wapi.
[emoji2] hivi gharama ya elimu iko huko chini au huku juu(high level - university)?
 
Back
Top Bottom