Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
poa niajeKitabu vp?
poa niajeKitabu vp?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Vip kichaa wangu!Kati ya watu wanne mmoja ni kichaa, ila Waliofanya huo utafiti walikuwa 20, Kati ya hao watano wao ni vichaa
Fresh nashukuru siku imeenda poapoa niaje
okayFresh nashukuru siku imeenda poa
10 kubwa wapi?okay
Wazima kabisaFamili wazima wote?
Poa kichaa wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Vip kichaa wangu!
Watoto wake hao?
Naskia ulisumbua sana wakati wanakushika wakupeleke mire...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Poa kichaa wangu
Safi sanaWazima kabisa
Musa=Moses in English8.Musa;kwa wanaoamini uwepo wa mungu,mtu huyu ameandikwa kwenye biblia pia qurani,wanaamini kuwa aliongea na Mungu,aliyewatoa waisraeli Misri na kupita nao baharini na mtu wa amri kumi za mungu.
![]()
Unajua kusoma kweli?Acha ushabuki wa kindezi
Unakuwa km mbuzi mcheza ngoma
Nimeona mechi zote za Simba msimu huu
Sikuandika udhaifu wenu kishabiki
Usipende kusifiwa tu
.......
Kimber Fc leo kidogo tuumbukeNimpe heshima zake mbao fc hakika kama mlipania sio mchezo
Kama sio mbinu na akili za ziada duh! Hali ingekua 0 kwa 0
Hongera sana simba yangu
Huyu ndo mwanzilishi wa dhehebu la KKKT(Lutheran)7.Martin Luther:huyu si yule wa Marekani(King Jr).Yeye alikuwa ni kiongozi wa kiprotestanti,mwanatheolijia aliyepingana na papa wa roma kisha kutengwa na kanisa katoriki,aliondoka kwenda kuanzisha kampeni ya madhehebu mengi yalioathiri ulimwengu wa kanisa.Aliandika vitabu vingi na kutunga nyimbo,pia alitoa tafsiri ya biblia kwa kijerumani.![]()