Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wasukuma wamekaza. . naona refa naanza uswahili
...
Tumeponea chupi chupi
1476976041855.jpg
ila mwisho wa siku tumezoa point 3.
 
Tumeponea chupi chupiView attachment 421520ila mwisho wa siku tumezoa point 3.
Nimeangalia kwa jicho la 3
Vibonde Mbao Fc wa Usukumani wamefichua udhaifu wenu mkubwa
Hamna plan B ....
magoli yenu mechi nyingi yanatokana na mipira ya adhabu(kona,penati,freekick)
Ikirokea mkakutana na timu inacheza kikauzu mnashikwa kiurahisi maana hamna plan B mmezoea kucheza pasi fupifupi tu

Hongereni kwa pt 3
.......
 
Nimeangalia kwa jicho la 3
Vibonde Mbao Fc wa Usukumani wamefichua udhaifu wenu mkubwa
Hamna plan B ....
magoli yenu mechi nyingi yanatokana na mipira ya adhabu(kona,penati,freekick)
Ikirokea mkakutana na timu inacheza kikauzu mnashikwa kiurahisi maana hamna plan B mmezoea kucheza pasi fupifupi tu

Hongereni kwa pt 3
.......
Simba hawana kitu
 
Back
Top Bottom