Mh!!! Huyo mke mvumilivu mwanawani kuna wengine nusu saa ni muda mrefu kwake!!!Anajua swala anakushanga, wewe kuniombea mimi jiran yake vumbi la kongo, wakat yee anajua fika jiran yake niko nondo.. Shemej yake akianza vilio saa 5 usiku hyo ni mpaka adhanaya alfajiri.. Siku hyo lazma alale na mziki wa sauti ya juu.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamaa balaa, Messi from injuryAndunje.. A best player ever macho yangu kumshuhudia.. Haka kajamaa haka nux
Yule mgeni Yuko wapi?Na iwe hivyo kwako na ulete mrejesho
NdioHee!!! Kumbe waliuawa siku moja!!!
Merci...[emoji120] [emoji120] Thanks Papaa
Mambo ya Diego Maradona hayo, hata yeye ni mzee wa totoz saanaKennedy alijua kuchagua. Na alisifika sana kwenye wanawake.
Kahama moja hiyoHii shule inamfaa jonax..
Vip huko kwenu..!?Safi Boko haram[emoji52]
Arsenal kila wakati? Amekutana nae mara tatu mfulilizo kama sikosei!Nataka kwenye hatua za mitoano Arsenal akutane na Barcelona, Madrid au atlentico.
Asiyefanya kazi na asilePoa kiongozi, twawajibika
Pamoja sana banyamulengeOwkey nnekuthoma Papaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Anajua swala anakushanga, wewe kuniombea mimi jiran yake vumbi la kongo, wakat yee anajua fika jiran yake niko nondo.. Shemej yake akianza vilio saa 5 usiku hyo ni mpaka adhanaya alfajiri.. Siku hyo lazma alale na mziki wa sauti ya juu.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mpe kijana huyo.. Ana matatzo ya dudu killer..Akuye piem kuna mutu ako na kisado cha vumbi!!!
Haaaahaaaa, mbona unamchokoza mtumishi?Quigley leo naona umeamka na mungu mungu.. Toka lini ukamjua mumgu wewe.. Au ushapata email kitabu chako cha kuish dunian kishakatwa utepe..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ungekuwa hiv siku zote saa hizi peponi ungekuwa na mabangalow first eleven
Hapa kweli alipoint.. Mtoto supa sio dizeliKennedy alijua kuchagua. Na alisifika sana kwenye wanawake.
KwemaVip huko kwenu..!?
Hao watakutana fainaliArsenal kila wakati? Amekutana nae mara tatu mfulilizo kama sikosei!
Bora Barcelona akutane na Madrid
Huyu wangu kiboko.. Na ndio maana nafaid pekee yangu, michepuko inamshindwa.. Na anajua kuwa shughuli pevu, ananipikia msosi mzito maprotein ya kutosha, mazoez asubuh na jion..Mh!!! Huyo mke mvumilivu mwanawani kuna wengine nusu saa ni muda mrefu kwake!!!
Huyu si mtunwa mchezo mchezo hata kidogo.. Messi fundi bhana, kipaji damuni.Jamaa balaa, Messi from injury