Makapuku Forum

Makapuku Forum

1944 - Peter Tosh anazaliwa.

Alikuwa ni mwanamuziki wa Reggae toka nchi ya Jamaica.

Alikuwa ni mtaalam wa gita, na inaaminika nchini Jamaica yeye ni maarufu zaidi ya Bob Marley.

Alifariki mwaka 1987 na siku yake aliyofariki kila mwaka huwa ni mapumziko kwa ajili ya kumuenzi.
Yasemekana jamaa alikuwa mtata kichiz..

Hata bob aishawahi kumwambia utata wako ndii utakuja kukumalza
 
Unaenda wapi sasa wee mtoto
naenda kununua maandazi kwa ajili ya
coffee.png
 
JINSI YA KURUDISHA UPYA NGUO YAKO ILIYOCHAKAA!!

'Watu wengi wanakosa raha hasa pale nguo zao wanazozipenda zinapopauka ama kuchakaa.

Zifuatazo ni hatua za kufata ili nguo iliyochakaa ama kupauka kurudia upya wake;
1. Chemsha maji kwenye sifuria kubwa mpaka yachemke (100°C)
2. Tumbukiza nguo yako ndani ya hayo maji,subiri nusu saa afu uitoe kwenye sufuria
3. Weka mafuta ya kula,weka kitunguu na nyanya kisha kologa weka nguo yako humo kwenye mchuzi af tia chumvi kidogo na uonje he he he unadhani unaunga nyama hapo hebu ona unavofatilia kwa makini,acha ujinga wewe nguo ikichakaa tupa na ununue nyingine umeambiwa madukani zimeisha!!
[emoji57] [emoji57] [emoji57] hovyoo

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah!!! Uchizi kweli miyeyusho. Atakuwa nani huyu!? Enzi zake za kudata kidogo.
Atakuwa yeye, maana ndio nilimuacha Milembe, si unajua ule utafiti wetu, kila watu wanne,mmoja ni kichaa

Waliofanya utafiti walikuwa 20, 5kati yao ni vichaa [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom