Naibu waziri jana alitoa sababu za kitoto sana mpaka alinikera
Vp mzimaMorning
Haswa ....Ila ni kawaida yake Yule MazaNaibu waziri jana alitoa sababu za kitoto sana mpaka alinikera
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]View attachment 420580View attachment 420581View attachment 420582
Kwa hisani yangu mimi mwenyewe niite Jimena Jimenes
Nawatakia siku njema
Wapi mwenyekiti Mussolin5 aje kutupa historia
28!!!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji15] [emoji15] [emoji15]We piga kelele tu ana 28 hivi sasa
Morng jombaa, inakuwaje!?Goodmorning family
Habar ya wewe jimena wangu jaman..Nimeshapoa ankali
Magufuli amwangalie huyu mwanamkeHaswa ....Ila ni kawaida yake Yule Maza
Kuna kiaudio flani shilole anaulizwa kuhusu challenge kabla ya kupanda jukwaani.. Mama yangu anachojibu ni maumiv kwa mbazu zako.. Unaweza kucheka mpaka basi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Au ni Shilole
[emoji28]Mirembe Mental Hospital.
DAKTARI :- Unajisikiaje?
CHIZI:-Kila siku naota nyani wanacheza mpira wa miguu.
DAKTARI :- Nitakupa dawa leo hautaota tena.
CHIZI:-Hiyo dawa nipe kesho sababu leo wanacheza fainali, na nilibet
Safi, bajet ya magazeti leo kwangu itahamia sector nyingine[emoji23]Karibuni sana tupate kupitia magazeti ya leo kama yalivyotufikia katika meza yetu asubuhi ya leo
View attachment 420550View attachment 420551View attachment 420552
Morng mkushi!!Morning Makapuku wenzangu
Morng JerryHasubui njema makapuku
Shukriya!!!View attachment 420580View attachment 420581View attachment 420582
Kwa hisani yangu mimi mwenyewe niite Jimena Jimenes
Nawatakia siku njema
Wapi mwenyekiti Mussolin5 aje kutupa historia
Mrng makaveliMorng Jerry
Dah!!! Uchizi kweli miyeyusho. Atakuwa nani huyu!? Enzi zake za kudata kidogo.Mirembe Mental Hospital.
DAKTARI :- Unajisikiaje?
CHIZI:-Kila siku naota nyani wanacheza mpira wa miguu.
DAKTARI :- Nitakupa dawa leo hautaota tena.
CHIZI:-Hiyo dawa nipe kesho sababu leo wanacheza fainali, na nilibet