Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,735
- 26,081
Hamna laana mbaya kama kukata tamaa katika maisha.Hata Jf umaarufu unatafutwa
Lakini km una nyota ya bundi hata uwe na thread 100 huupati
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.............
Katika maisha pambana kivyovyote vile uwezavyo ili ufanikiwe(Pesa)