Makapuku Forum

Makapuku Forum

Cha kusikitisha zaid 1968 mdogo wake na yeye akauwawa tena.
Hayo yote hayakutokea kwa bahati mbaya. It was planned.

Ikumbukwe Robert F. Kennedy alikuwa ndio Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya kaka yake.

Hivyo alijua siri nyingi, alipoamua kuwania Urais wakaona mambo yatafichuka. Wakammaliza.

Kuna mtu anaitwa Edgar J. Hoover ( Mkurugenzi wa FBI ) anatajwa sana katika mauaji ya ndugu hao. Pia Makamu wa Rais naye ametajwa sana.
 
Eti tutaipiku dubai, maajabu sana
Hivi kuna jiji lolote hapa nchin lina muonekana wa amna hii kama Dubai?
1476771031995.jpg
 
Hayo yote hayakutokea kwa bahati mbaya. It was planned.

Ikumbukwe Robert F. Kennedy alikuwa ndio Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya kaka yake.

Hivyo alijua siri nyingi, alipoamua kuwania Urais wakaona mambo yatafichuka. Wakammaliza.

Kuna mtu anaitwa Edgar J. Hoover ( Mkurugenzi wa FBI ) anatajwa sana katika mauaji ya ndugu hao. Pia Makamu wa Rais naye ametajwa sana.
Yah! Hapa inaonekana mdogo wake Kennedy aliwafahamu fika wauaji waliomuua kaka yake.
Hivyo walihifia kuwa endapo angekuwa rais basi angewamaliza
 
Hayo yote hayakutokea kwa bahati mbaya. It was planned.

Ikumbukwe Robert F. Kennedy alikuwa ndio Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya kaka yake.

Hivyo alijua siri nyingi, alipoamua kuwania Urais wakaona mambo yatafichuka. Wakammaliza.

Kuna mtu anaitwa Edgar J. Hoover ( Mkurugenzi wa FBI ) anatajwa sana katika mauaji ya ndugu hao. Pia Makamu wa Rais naye ametajwa sana.
Urais wa nchi kama Marekani ni shida tupu
 
Back
Top Bottom