Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mbona yameisha?, nyie mnaouliza maswali ndiyo mnakuza na hasa wewe shululu hahahahaha
ugomvi sio mzuri
facepunch.png
 
Sikilizeni
...............
Km mtu hawezi UTANI aende jukwaa la siasa(Polifix Forum) ndo kunamfaa

Hapa tunataniana,elimishana,pigishana stori n.k
Kisichoruhusiwa ni ugomvi ,malumbano na matusi
Km mtu utani unamboa asepe aende jukwaa la siasa awaache wanaojua/weza utani

Utani wetu unaishiia hapahapa
Tukikuana kwingine tunapingana kwa hoja hakuna ushikaji
.............
........
....
....
 
Sikilizeni
...............
Km mtu hawezi UTANI aende jukwaa la siasa(Polifix Forum) ndo kunamfaa

Hapa tunataniana,elimishana,pigishana stori n.k
Kisichoruhusiwa ni ugomvi ,malumbano na matusi
Km mtu utani unamboa asepe aende jukwaa la siasa awaache wanaojua/weza utani
.............
........
....
....
clap.png
thumbsup.png
aende
point_right.png
 
Back
Top Bottom