Makapuku Forum

Makapuku Forum

1890 - Maria Goretti anazaliwa.

Alikuwa ni mtakatifu toka nchini Italy.
IMG_20161016_095009.jpeg
Screenshot_2016-10-16-09-49-00.png
Screenshot_2016-10-16-09-49-45.png

Mtu mweusi hajawahi kuwa papa wala mtakatifu
Kweli dini imeletwa na meli
......
 
1953 - Paulo Roberto Falcao anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Roma na Timubya Taifa ya Brazil.

Anachukuliwa kama mmoja ya wanasoka mahiri kuwahi kutokea nchini Brazil.

Alikuwepo katika Brazil iliyoshiriki Kombe la Dunia la mwaka 1982 pale Spain, akiwa na Socrates, Zico ( Pele mweupe ) na Eder. Kikosi hiko kinatajwa kama Brazil bora iliyoshindwa kubeba Kombe la Dunia.

Radamel Falcao alipewa jina la Falcao na baba yake kwa heshima ya Mbrazil huyu.
Screenshot_2016-10-16-10-14-32.png
Screenshot_2016-10-16-10-14-41.png
Screenshot_2016-10-16-10-14-52.png
IMG_20161016_101638.jpeg
 
Back
Top Bottom