shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Imekuwaje tena?Wewe ni mse.nge?
Imekuwaje tena?Wewe ni mse.nge?
Heshima kwa Tutu1984 - Askofu Desmond Tutu anapewa tuzo ya amani ya Nobel.
Asante diktetaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Manute Bol, muwe na Jumapili njema.
Morning mukongoMorning, Morning famile
1973 - Henry Kissinger ambaye alikuwa ni mshauri wa masuala ya Ulinzi Marekani na Le Duc Tho wa Vietnam wapewa Tuzo ya amani ya Nobel kwa mchango wao wa kusitisha Vita ya Vietnam.
Huwa nawashangaa wazazi wanaoita watoto wao jina la Maria Goretti likiwa full name1890 - Maria Goretti anazaliwa.
Alikuwa ni mtakatifu toka nchini Italy.
Alichokwa huyo ndio maana wameamua kumtanguliza
[emoji122] [emoji122]Mimi timu wattford
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
aise1953 - Paulo Roberto Falcao anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Roma na Timubya Taifa ya Brazil.
Anachukuliwa kama mmoja ya wanasoka mahiri kuwahi kutokea nchini Brazil.
Alikuwepo katika Brazil iliyoshiriki Kombe la Dunia la mwaka 1982 pale Spain, akiwa na Socrates, Zico ( Pele mweupe ) na Eder. Kikosi hiko kinatajwa kama Brazil bora iliyoshindwa kubeba Kombe la Dunia.
Radamel Falcao alipewa jina la Falcao na baba yake kwa heshima ya Mbrazil huyu.
AlikurupukaImekuwaje tena?
1984 - Askofu Desmond Tutu anapewa tuzo ya amani ya Nobel.
Asitukane sasaAlikurupuka
n ujuhaHuwa nawashangaa wazazi wanaoita watoto wao jina la Maria Goretti likiwa full name
au alikuwa anawewesekaAlikurupuka
Wenge la usingizi hiloAsitukane sasa
awe na hekimaAsitukane sasa
Itakuwa ni hivyo maana si kwa neno lile lenye ukakasiau alikuwa anaweweseka
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Itakuwa ni hivyo maana si kwa neno lile lenye ukakasi
1998 - Kiongozi wa zamani wa Chile, Augusto Pinochet anakamatwa huko London baada ya Spain kutoa warrant ya kukamatwa kwake kutokana na kuua watu wasio na hatia enzi ya utawala wake.
[emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23]