Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_2016-10-15-18-54-16.png
 
Msimu wa 2010 simba sc ilinyakua ubingwa wa tanzania kwa point 56 ikiwa imeshinda mechi 18 na kudroo mbili (2)

Hii ilikua mara ya kwanza kwa klabu ya tanzania kuchukua ubingwa wa ligi kuu bila ya kupoteza mechi hata moja

Simba ilikua imebakiza mechi mbili kumaliza ligi
 
Msimu wa 2010 simba sc ilinyakua ubingwa wa tanzania kwa point 56 ikiwa imeshinda mechi 18 na kudroo mbili (2)

Hii ilikua mara ya kwanza kwa klabu ya tanzania kuchukua ubingwa wa ligi kuu bila ya kupoteza mechi hata moja

Simba ilikua imebakiza mechi mbili kumaliza ligi
Kwel kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom