Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,735
- 26,081
Sina kumbukumbu vizu ila nafikiri tulishaivunja kwenye miaka ya 2003 - 2007Tunaivunja ya aseno tunaweka ya SIMBA tu ila msimu wa 2009 nadhani ilitokea
kikofia nisahihishe
Sina kumbukumbu vizu ila nafikiri tulishaivunja kwenye miaka ya 2003 - 2007Tunaivunja ya aseno tunaweka ya SIMBA tu ila msimu wa 2009 nadhani ilitokea
kikofia nisahihishe
Bado bila bila half time nowBaba vipi? matokeo yanasemaje?
Cc: shululu napitia kumbukumbu nikupe ukwel zaidi ila aseno tumeshavunjaga rekodi yaoSina kumbukumbu vizu ila nafikiri tulishaivunja kwenye miaka ya 2003 - 2007
Tanesco ni janga la kitaifa aiseeLukaku......
Man city kashapigwa tayariii
Man city 0-1 Everton
Af saiv wanatupia mpira! Penati againLukaku......
Man city kashapigwa tayariii
Man city 0-1 Everton
Mmekosa penalt zote 2Af saiv wanatupia mpira! Penati again
Nolito katupiaImedakwa tena!
Mh!!! Hapa tumelala!
si kwelHiyo record niya arsenal tu
kocha alikuwa Patrick Phil toka ZambiaSina kumbukumbu vizu ila nafikiri tulishaivunja kwenye miaka ya 2003 - 2007
Kwel kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msimu wa 2010 simba sc ilinyakua ubingwa wa tanzania kwa point 56 ikiwa imeshinda mechi 18 na kudroo mbili (2)
Hii ilikua mara ya kwanza kwa klabu ya tanzania kuchukua ubingwa wa ligi kuu bila ya kupoteza mechi hata moja
Simba ilikua imebakiza mechi mbili kumaliza ligi