Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20161015_192422.jpeg
 
Msimu wa 2010 simba sc ilinyakua ubingwa wa tanzania kwa point 56 ikiwa imeshinda mechi 18 na kudroo mbili (2)

Hii ilikua mara ya kwanza kwa klabu ya tanzania kuchukua ubingwa wa ligi kuu bila ya kupoteza mechi hata moja

Simba ilikua imebakiza mechi mbili kumaliza ligi
Hata nusu msimu bado
Wapo vizuri lakini wanapigwa tu
......
 
Mbwana samatta anaechezea ligi kuu ya ubelgiji na timu ya Genk ametajwa kwenye orodha ya majina ya wachezaji watakao wania tuzo ya mchezaji bora wa afrika.

Tumuombee samagoal77
Hayo maombi hata ukiyafanyia mt. Kilimanjaro Mbwana Sammata hawezi kishinda.

Hii tuzo ni ya Aubameyang tu, hana mpinzani kwa sasa Africa
 
Hayo maombi hata ukiyafanyia mt. Kilimanjaro Mbwana Sammata hawezi kishinda.

Hii tuzo ni ya Aubameyang tu, hana mpinzani kwa sasa Africa
Umenifurahisha
Kuna watu wanaamini ktk maombi badala ya data

Ni sawa na mtu mwenye rundo la sup na carry afanye maombi amuombe Mungu ili agraduate with Honours degree
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
..........
 
Back
Top Bottom