Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,605
Ni 75% tu ndio huwa wasaliti ila 25% ni pure friendHujuagi?
Ni 75% tu ndio huwa wasaliti ila 25% ni pure friendHujuagi?
Marahaba ndg yake mshana jrShkamoo mjomba ake werrason
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ni 75% tu ndio huwa wasaliti ila 25% ni pure friend
Unakodoa kodo[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
KodoUnakodoa kodo
Wanakimbizwa balaa..
Kutesa kwa zamuWanakimbizwa balaa..
Yani wanagusa mpira kwa kuotea sana
Sikujua unatembelea maeneo haya mkuu.Denge nuksi...
Duh falsafa ya maisha hiiMaisha bhana HUWA NAYO HAYAPENDAGI UJINGA KABISA...!!!
Mshahara ukiingia tu wiki ya kwanza unakula kuku ila wiki ya pili unaanza kula product za kuku (mayai) wiki ya tatu ya mshahara unaanza kula vyakula vya kuku (mahindi)...kimbembe huwa ni wiki ya nne maana unakuwa kuku kabsaa (unazurura zururura)
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
lecister wamekua maboya sana siku hizi hadi wanaboa
17 4m 4 now[emoji53] mwanao wa kwanza ana umri gani?
[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56]Hujuagi?