Makapuku Forum

aaah wapo wengi wenye heshima na wanaoniheshimu... Lakini nataka kujua hivi wewe utajiita mkongwe kweli?
Sijajua paka sasa dhana ya ukongwe inamaanisha Nini? Labda unipe darasa...
Maaana kama ni umri Wa kuwa jf..? Au it goo beyond that....
Ila dhana ya kapuku nimeielewa vema. Kana dharau flani hivi japo binafsi haijawahi kunikuta ila huwa siipend
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…