Sijajua paka sasa dhana ya ukongwe inamaanisha Nini? Labda unipe darasa...
Maaana kama ni umri Wa kuwa jf..? Au it goo beyond that....
Ila dhana ya kapuku nimeielewa vema. Kana dharau flani hivi japo binafsi haijawahi kunikuta ila huwa siipend
Tukumbuke lengo la movement hii sio kuigawa Jf ila kuleta usawa na kuondoa matabaka yaliyowekwa na wale wanaojiita wakongwe na kuwaita wenzao mulugo's effect na majina mengineyo hivyo usisahau kulikumbusha hili mkuu