kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,239
- 17,676
good!! naunga mkono hoja, au sijui kinachoendelea,? nieleweshe basi, kabla hujalala!! please.Ndio wote ni sawa, ila sasa isifike mahali ukaona cheo ndo kila kitu, hiyo itapelekea kujiona mnyonge pale unapokosa nafasi hiyo, ndio mana sisi tunalilia usawa,
Makapuku tunaamini wote ni sawa na tuna haki sawa kama wengine bila kujali tarehe ya mtu kujiunga JF