Makapuku Forum

Makapuku Forum

1.Nelson Mandela;alikuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika kusini kuanzia 1994-1999,mwanaharakati wa kupinga ubaguzi wa rangi,alifungwa gerezani kwa muda mrefu(27 yrs),mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel.Anatajwa kama kiongozi mahiri kuwahi kutokea Afrika.
Nelson-Mandela-Smiling.jpg

****THE BOOK***
kesho tujadili hii mada kwa hoja za kihistoria "Nyerere ni bora kuliko Mandela"!!!!!
Madiba hata sura tu ni ya upole
 
Back
Top Bottom