Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,302
Sio nataka, mimi ni mchochezimkuu unataka kuleta uchochezi??
Sio nataka, mimi ni mchochezimkuu unataka kuleta uchochezi??
Inahitaji akili ya ziada kuelewa hiliMadiba anastahili hiyo no. 1
Na katika hizi takwimu naona Nyerere wamempendelea sana kumuweka no. 3
Imgekuwa ni mimi nngemuweka Nyerere no. 11 au nimtoe kabisa katka top ten.
[emoji53] USINIULIZE NI KWANINI.
Maana tutazua mjadala mwingine mzito nikitetea hoja yangu
[emoji120] all de best my friend
Sina hoja hiyo..Umaskini wako hauhusiani na Nyerere
Sawa UKAWA?
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
........
Exactly..Huwezi kumbeza Mandela dunia itakushangaa the book, hakuna mwanadamu anaweza kiteswa zaidi ya nusu ya maisha yake, then akawasamehe adui zake
[emoji120] Hakika mkuuInahitaji akili ya ziada kuelewa hili
Aisee, nini kinakutokea?Bila hyo kitu ni hatar kwangu
Sio sahihi shululuSahihi kabisa
Mazila gani jk alipambana nayo umlinganishe na Madiba?Exactly..
Watu hapa wanajibu kwa mihemko
ngoja kesho nilete mada kila mtu atetee upande wake "Nyerere ni Bora kuliko Mandela"Huwezi kumbeza Mandela dunia itakushangaa the book, hakuna mwanadamu anaweza kiteswa zaidi ya nusu ya maisha yake, then akawasamehe adui zake
Pamoja na yote bado Madiba anastahili no 1Nipo nasoma Kitabu kinaitwa " The dark side of JK Nyerere " Jamaa amemkosoa sana Nyerere.
Pamoja na changamoto za hapa na pale Nyerere anabaki kuwa Kiongozi namba 1 Afrika.
Bila harakati zake Mandela na South Africa yake isingekuwa vile.
Alipaza sauti yake kimataifa dhidi ya makaburu bila woga.
Huyu jamaa ndie kwisha kazi kwa wote Africa na PanAFrica yake2.Kwame Nkrumah;alikuwa rais wa kwanza wa Ghana,nchi iliyopata uhuru mapema zaidi,1957.Alifariki 26 April,1972.Ni kiongozi wa kukumbukwa Duniani kwa harakati zake za ukombozi wa Bara la Afrika,mmoja wa waasisi wa Umoja wa Afrika.
![]()
Kivipi elezeaHuyu jamaa ndie kwisha kazi kwa wote Africa na PanAFrica yake
Ndo hapo sasa...Mazila gani jk alipambana nayo umlinganishe na Madiba?
Tuletee ,ila ukweli utabaki Nyerere yupo juu zaidi ya madibangoja kesho nilete mada kila mtu atetee upande wake "Nyerere ni Bora kuliko Mandela"
Utakileta hapa au utakifungulia thread yake?ngoja kesho nilete mada kila mtu atetee upande wake "Nyerere ni Bora kuliko Mandela"
hapa hapa au kama kwingine nyie muwepoUtakileta hapa au utakifungulia thread yake?