Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
1.Nelson Mandela;alikuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika kusini kuanzia 1994-1999,mwanaharakati wa kupinga ubaguzi wa rangi,alifungwa gerezani kwa muda mrefu(27 yrs),mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel.Anatajwa kama kiongozi mahiri kuwahi kutokea Afrika.
![]()
****THE BOOK***
kesho tujadili hii mada kwa hoja za kihistoria "Nyerere ni bora kuliko Mandela"!!!!!
Alioa kicheche