Makapuku Forum

Makapuku Forum

2.Kwame Nkrumah;alikuwa rais wa kwanza wa Ghana,nchi iliyopata uhuru mapema zaidi,1957.Alifariki 26 April,1972.Ni kiongozi wa kukumbukwa Duniani kwa harakati zake za ukombozi wa Bara la Afrika,mmoja wa waasisi wa Umoja wa Afrika.
Kwame-nkrumah.jpg
Screenshot_2016-10-09-23-03-56.png
IMG_20161009_230425.jpeg
IMG_20161009_230437.jpeg
IMG_20161009_230447.jpeg
 
Ndo hapo sasa...

Kila nchi inaandika historia ya waasisi wao kwa mambo mazuri tu(Kila mwamba ngoma, ngozi huivutia kwake)

Wewe unaweza ukamuona Saddam Hussein ni mbaya lakini kwenye nchi yake unakuta wamemuandika kwa mazuri.

Hvyo tunakaririshwa kulingana na hiyo methali hapo juu[emoji115] kwenye bracket
Sisi hatuna historia kamili kwani ameandikwa mmoja tu kwa mazuri lkn dark side na failure zake zimefichwa kabisa
 
Nipo nasoma Kitabu kinaitwa " The dark side of JK Nyerere " Jamaa amemkosoa sana Nyerere.

Pamoja na changamoto za hapa na pale Nyerere anabaki kuwa Kiongozi namba 1 Afrika.

Bila harakati zake Mandela na South Africa yake isingekuwa vile.

Alipaza sauti yake kimataifa dhidi ya makaburu bila woga.
ameandika nani???
 
Nipo nasoma Kitabu kinaitwa " The dark side of JK Nyerere " Jamaa amemkosoa sana Nyerere.

Pamoja na changamoto za hapa na pale Nyerere anabaki kuwa Kiongozi namba 1 Afrika.

Bila harakati zake Mandela na South Africa yake isingekuwa vile.

Alipaza sauti yake kimataifa dhidi ya makaburu bila woga.
Mwambie Kikofia
Puli zimemlemaza
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
 
1.Nelson Mandela;alikuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika kusini kuanzia 1994-1999,mwanaharakati wa kupinga ubaguzi wa rangi,alifungwa gerezani kwa muda mrefu(27 yrs),mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel.Anatajwa kama kiongozi mahiri kuwahi kutokea Afrika.
Nelson-Mandela-Smiling.jpg

****THE BOOK***
kesho tujadili hii mada kwa hoja za kihistoria "Nyerere ni bora kuliko Mandela"!!!!!
[emoji41] Mandela served 27 years in prison, initially on
Robben Island, and later in Pollsmoor Prison
and Victor Verster Prison. Amid international
pressure and growing fear of a racial civil war,
President F. W. de Klerk released him in 1990.
Mandela and de Klerk negotiated an end to
apartheid and organised the 1994 multiracial
general election in which Mandela led the ANC
to victory and became President. Leading a
broad coalition government which promulgated
a new constitution , Mandela emphasised
reconciliation between the country's racial
groups and created the Truth and
Reconciliation Commission to investigate past
human rights abuses. While retaining the
former government's economic liberalism , his
administration introduced measures to
encourage land reform , combat poverty, and
expand healthcare services. Internationally, he
acted as mediator in the Pan Am Flight 103
bombing trial and served as Secretary-General
of the Non-Aligned Movement from 1998 to
1999. He declined a second presidential term
and in 1999 was succeeded by his deputy,
Thabo Mbeki . Mandela became an elder
statesman and focused on charitable work,
combating poverty and HIV/AIDS through the
Nelson Mandela Foundation .
Mandela was a controversial figure for much of
his life. Although critics on the right denounced
him as a communist terrorist and those on the
radical left deemed him too eager to negotiate
and reconcile with apartheid's supporters, he
gained international acclaim for his activism.
He received more than 250 honours, including
the Nobel Peace Prize , the U.S. Presidential
Medal of Freedom , and the Soviet Lenin Peace
Prize . He is held in deep respect within South
Africa, where he is often referred to by his
Xhosa clan name , Madiba, or as Tata
("Father"), and described as the " Father of the
Nation".
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom