Makapuku Forum

Makapuku Forum

3.Julius K. Nyerere;rais wa kwanza wa Tanzania pia ni mmoja wa viongozi bora waliowahi kutokea Afrika,aliheshimika duniani kwa umahiri wake wa kuongea tangu akidai uhuru umoja wa mataifa,alishiriki ukombozi wa bara la Afrika,aliunganisha Tanganyika na Zanzibar,alikuwa "mjamaa",alipambana na rushwa na alistaafu urais kwa hiari yake mwaka 1984.
Julius-Nyerere.jpg
....umahiri wa kuongea...
 
3.Julius K. Nyerere;rais wa kwanza wa Tanzania pia ni mmoja wa viongozi bora waliowahi kutokea Afrika,aliheshimika duniani kwa umahiri wake wa kuongea tangu akidai uhuru umoja wa mataifa,alishiriki ukombozi wa bara la Afrika,aliunganisha Tanganyika na Zanzibar,alikuwa "mjamaa",alipambana na rushwa na alistaafu urais kwa hiari yake mwaka 1984.
Julius-Nyerere.jpg
Kiongozi wa ukweli huyo
 
3.Julius K. Nyerere;rais wa kwanza wa Tanzania pia ni mmoja wa viongozi bora waliowahi kutokea Afrika,aliheshimika duniani kwa umahiri wake wa kuongea tangu akidai uhuru umoja wa mataifa,alishiriki ukombozi wa bara la Afrika,aliunganisha Tanganyika na Zanzibar,alikuwa "mjamaa",alipambana na rushwa na alistaafu urais kwa hiari yake mwaka 1984.
Julius-Nyerere.jpg
Screenshot_2016-09-29-17-04-45.png
tapatalk_1476042099706.jpeg
tapatalk_1476042110795.jpeg
IMG_20160929_170531.jpeg

Kwangu mimi Nyerere ndo # 1
Labda kwavile hajawahi kufungwa jela tu ndo kazidiwa na Madiba
........
 
Kuwa makini kwa vitu inavyovileta hapa..
Vinasomwa na watu wengi..
[emoji2] usiwe kama mlozi Jr anayeshika masikio kule kwenye thread(historia) yake uchwara.
[emoji120] all de best my friend
Siku ya 3 hii hajapost
Itakuwa kina "Karanga" wamempa onyo PM kwamba akiendeleza pumba watamchana palepale
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
..........
 
View attachment 415236View attachment 415237View attachment 415238View attachment 415239
Kwangu mimi Nyerere ndo # 1
Labda kwavile hajawahi kufungwa jela tu ndo kazidiwa na Madiba
........
Madiba anastahili hiyo no. 1

Na katika hizi takwimu naona Nyerere wamempendelea sana kumuweka no. 3

Imgekuwa ni mimi nngemuweka Nyerere no. 11 au nimtoe kabisa katka top ten.
[emoji53] USINIULIZE NI KWANINI.

Maana tutazua mjadala mwingine mzito nikitetea hoja yangu

[emoji120] all de best my friend
 
Madiba anastahili hiyo no. 1

Na katika hizi takwimu naona Nyerere wamempendelea sana kumuweka no. 3

Imgekuwa ni mimi nngemuweka Nyerere no. 11 au nimtoe kabisa katka top ten.
[emoji53] USINIULIZE NI KWANINI.

Maana tutazua mjadala mwingine mzito nikitetea hoja yangu

[emoji120] all de best my friend
Umaskini wako hauhusiani na Nyerere
Sawa UKAWA?
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
........
 
Siku ya 3 hii hajapost
Itakuwa kina "Karanga" wamempa onyo PM kwamba akiendeleza pumba watamchana palepale
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
..........
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Anadanganya watu, hivi hajui kuwa hapa Jf wako watu na taaluma zao tofauti?

Naona angebaki kule kwenye ulozi tu, coz ni mambo yanayohusu imani, hvyo hamna mtu wa kum-challange
 
Back
Top Bottom