Makapuku Forum

Makapuku Forum

6.Patrice Lumumba(Prime Minister);alikuwa waziri mkuu wa kwanza kuchaguliwa huko DRC,aliongoza harakati za kuondoa utawala wa kikoloni wa "belgium".Baada ya nchi kuchukulia kijeshi na "Joseph Mobutu",Lumumba alifungwa gerezani kisha kuuawa january 17,1961.Umoja wa Mataifa unalaumiwa kwa kupuuzia mauaji haya.
Patrice-Lumumba.jpg
Daaah R.I.P lumumba
 
6.Patrice Lumumba(Prime Minister);alikuwa waziri mkuu wa kwanza kuchaguliwa huko DRC,aliongoza harakati za kuondoa utawala wa kikoloni wa "belgium".Baada ya nchi kuchukulia kijeshi na "Joseph Mobutu",Lumumba alifungwa gerezani kisha kuuawa january 17,1961.Umoja wa Mataifa unalaumiwa kwa kupuuzia mauaji haya.
Patrice-Lumumba.jpg
dfe99353c4374adff0748fc9ca43e613.jpg
IMG_20161009_214258.jpeg
IMG_20161009_214228.jpeg

Siku alipokamatwa
.....
 
[emoji2] vazi la kawaida sana hilo, hata kwenye mitumba linapatikana kwa kuunga unga.

Unaanza na trauza then shati after that koti + moka = MWENDO MDUNDO
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Sishabikii suti
Ht chuo tulitakiwa tuvae hivyo lakini sikuwahi kuvaa koti ht siku moja.....navhomekea mashati ya kitozi na suruari safi ya kitambaa cheusi inatosha
Hata siku nikioa kwenye harusi sihitaji suti/koti na hakuna wa kunilazimisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
.......
 
Back
Top Bottom