Makapuku Forum

Makapuku Forum

8.Jomo Kenyatta;alikuwa rais wa kwanza wa Kenya iliyopata uhuru 1963 hadi alipofariki 1978.Anasifika kwa kuleta uchumi imara wa Kenya,kutofuata ujamaa na kufuata sera za kimagharibi.
Jomo-Kenyatta-1978.jpg
IMG_20161009_211850.jpeg
IMG_20161009_211821.jpeg
IMG_20161009_211839.jpeg

Jomo & Uhuru Kenyatta
.......
 
7.Thomas Sankara;alikuwa rais wa Burkina Faso 1983-1987,alichukua madaraka akiwa na umri wa miaka 33.Alisifika kwa kuondoa utawala wa "kifaransa" na rushwa serikalini .Aliuawa oktoba 5,1987 na kikundi cha kijeshi.Pia aliitwa "The African Che Guevara".
Thomas-Sankara.jpg
 
6.Patrice Lumumba(Prime Minister);alikuwa waziri mkuu wa kwanza kuchaguliwa huko DRC,aliongoza harakati za kuondoa utawala wa kikoloni wa "belgium".Baada ya nchi kuchukulia kijeshi na "Joseph Mobutu",Lumumba alifungwa gerezani kisha kuuawa january 17,1961.Umoja wa Mataifa unalaumiwa kwa kupuuzia mauaji haya.
Patrice-Lumumba.jpg
 
6.Patrice Lumumba(Prime Minister);alikuwa waziri mkuu wa kwanza kuchaguliwa huko DRC,aliongoza harakati za kuondoa utawala wa kikoloni wa "belgium".Baada ya nchi kuchukulia kijeshi na "Joseph Mobutu",Lumumba alifungwa gerezani kisha kuuawa january 17,1961.Umoja wa Mataifa unalaumiwa kwa kupuuzia mauaji haya.
Patrice-Lumumba.jpg
Kifo chake chasikitisha sana
 
6.Patrice Lumumba(Prime Minister);alikuwa waziri mkuu wa kwanza kuchaguliwa huko DRC,aliongoza harakati za kuondoa utawala wa kikoloni wa "belgium".Baada ya nchi kuchukulia kijeshi na "Joseph Mobutu",Lumumba alifungwa gerezani kisha kuuawa january 17,1961.Umoja wa Mataifa unalaumiwa kwa kupuuzia mauaji haya.
Patrice-Lumumba.jpg
Apumzike kwa amani.
 
Back
Top Bottom