Makapuku Forum

Makapuku Forum

65de129a637a4ab3165d0953f270d545.jpg
9ff09f9171eac9568584f96ff60a78c7.jpg
View attachment 414843
Mbaya sana
 
Habari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.

Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.

Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku Bitoz shukrani kwake

Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.

Karibu sana

Bitoz
JF Makapuku Founder

Jimena
JF Makapuku assistant Founder

Th Name JF Makapuku assistant Founder
Huyu mzee kumuona ni sawa na kuokota dhahabu na almasi
 
April 9 - Leo ni Miezi Sita ya Makapuku.

Tumepiga hatua kubwa ndani ya miezi sita hii, Anayeongiza kwa Like nyingi ni Kapuku JJ ambaye ana Like kama 80K.

Thread yenye views wengi ndio hii, Yenye comments nyingi ndio hii ambapo ni zaidi ya 100K.

Hakika Makapuku forum, ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo kwani hapa ni kisima cha maarifa kwa uwepo wa segment mbalimbali zinazotufanya tujifunze mambo mapya kila kukicha.

Heri ya maadhimisho ya Nusu mwaka kwa Makapuku wote.
[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Back
Top Bottom