Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,302
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
AbarikiweAhsante kwa ujumbe murua kabisa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwemakwema mkuu?
JamanLeo katika Historia:
1967 - Ernesto Che Guevara anauwawa huko Bolivia.
Ni siku moja baada ya kukamatwa na Jeshi la Nchi hiyo, anauwawa baada kuteswa kwa takribani masaa 24.
Mkuu mamboKwema kabisa mkuu, vp pande hizo
Dalai Lama ni wa kipekee kabisa1980 - Papa John Paul II anakutana na Dalai Lama na kufanya mazungumzo ya siri huko Vatican.
Mkuu zote nzuri sanaNimeupenda huu[emoji116] [emoji116] [emoji116]
Dada kwema?Kwema unalianzisha au nilianzishe??
Unaona eeR I P handsome
Mzee wa 07131966 - David Cameron anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa Uingereza.
Huyu mzee kumuona ni sawa na kuokota dhahabu na almasiHabari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku Bitoz shukrani kwake
Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.
Karibu sana
Bitoz
JF Makapuku Founder
Jimena
JF Makapuku assistant Founder
Th Name JF Makapuku assistant Founder
Naipenda uganda sana1962 - Siku ya Uhuru wa Uganda.
Walipata Uhuru wao toka kwa Waingereza.
Aisee kumbe anapenda kutumia hiyo line?Mzee wa 0713
La kwetu ni taabaniSiku ya Kimataifa ya Mashirika ya Posta duniani.
Kali kidogo!Hii nayo kali
[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]April 9 - Leo ni Miezi Sita ya Makapuku.
Tumepiga hatua kubwa ndani ya miezi sita hii, Anayeongiza kwa Like nyingi ni Kapuku JJ ambaye ana Like kama 80K.
Thread yenye views wengi ndio hii, Yenye comments nyingi ndio hii ambapo ni zaidi ya 100K.
Hakika Makapuku forum, ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo kwani hapa ni kisima cha maarifa kwa uwepo wa segment mbalimbali zinazotufanya tujifunze mambo mapya kila kukicha.
Heri ya maadhimisho ya Nusu mwaka kwa Makapuku wote.