Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1967 - Ernesto Che Guevara anauwawa huko Bolivia.

Ni siku moja baada ya kukamatwa na Jeshi la Nchi hiyo, anauwawa baada kuteswa kwa takribani masaa 24.
65de129a637a4ab3165d0953f270d545.jpg
9ff09f9171eac9568584f96ff60a78c7.jpg
Screenshot_2016-10-09-09-35-30.png
 
1918 - E.Howard Hunt anazaliwa.

Ni wakala wa zamani wa CIA na mwandishi mashuhuri wa vitabu.

Alikuwa ni sehemu ya Utawala wa Rais Richard Nixon ambapo yeye na CIA wenzake waliratibu skendi maarufu ikimtoa madarakani Rais Nixon, Watergate scandal
 
Back
Top Bottom