jerrysonkiria JF-Expert Member Joined Sep 5, 2014 Posts 2,228 Reaction score 2,902 Oct 1, 2016 #114,801 Sweetiepie said: Phil Collins - Another Day In Paradise (Official …: Huu wimbo huwa unanisikitisha.. Click to expand... Hata mimi imenitokeaga hii ya kusitikitika na huu wimbo ,ila yanga watasikitika zaidi baada ya kichapo cha leo
Sweetiepie said: Phil Collins - Another Day In Paradise (Official …: Huu wimbo huwa unanisikitisha.. Click to expand... Hata mimi imenitokeaga hii ya kusitikitika na huu wimbo ,ila yanga watasikitika zaidi baada ya kichapo cha leo
MKWEPA KODI JF-Expert Member Joined Nov 28, 2015 Posts 28,700 Reaction score 71,102 Oct 1, 2016 #114,802 jerrysonkiria said: Na mimi simba naongezea nguvu Click to expand... Wawili mtaweza kweli, haya shauri yenu
jerrysonkiria said: Na mimi simba naongezea nguvu Click to expand... Wawili mtaweza kweli, haya shauri yenu
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Oct 1, 2016 #114,803 Burudani hii kutoka kwa Mr. Phil Collins ililetwa kwenu kwa hisani babu kubwa ya Simba na Yanga sina jipya jingine mpaka hapo kesho tena ila tu tukutane Taifa, Mlikuwa nami Sweetiepie. Tchau Amigos
Burudani hii kutoka kwa Mr. Phil Collins ililetwa kwenu kwa hisani babu kubwa ya Simba na Yanga sina jipya jingine mpaka hapo kesho tena ila tu tukutane Taifa, Mlikuwa nami Sweetiepie. Tchau Amigos
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Oct 1, 2016 #114,804 jerrysonkiria said: Hata mimi imenitokeaga hii ya kusitikitika na huu wimbo ,ila yanga watasikitika zaidi baada ya kichapo cha leo Click to expand... Wewe upo Simba eeh?
jerrysonkiria said: Hata mimi imenitokeaga hii ya kusitikitika na huu wimbo ,ila yanga watasikitika zaidi baada ya kichapo cha leo Click to expand... Wewe upo Simba eeh?
jerrysonkiria JF-Expert Member Joined Sep 5, 2014 Posts 2,228 Reaction score 2,902 Oct 1, 2016 #114,805 MKWEPA KODI said: Wawili mtaweza kweli, haya shauri yenu Click to expand... Matokeo yatatupa nguuvu ya kupambana nanyi
MKWEPA KODI said: Wawili mtaweza kweli, haya shauri yenu Click to expand... Matokeo yatatupa nguuvu ya kupambana nanyi
jerrysonkiria JF-Expert Member Joined Sep 5, 2014 Posts 2,228 Reaction score 2,902 Oct 1, 2016 #114,806 Sweetiepie said: Wewe upo Simba eeh? Click to expand... Yaah msimbazi one
MKWEPA KODI JF-Expert Member Joined Nov 28, 2015 Posts 28,700 Reaction score 71,102 Oct 1, 2016 #114,807 jerrysonkiria said: Matokeo yatatupa nguuvu ya kupambana nanyi Click to expand... Hahahahaha mkifungwa mtajificha wapi mkuu
jerrysonkiria said: Matokeo yatatupa nguuvu ya kupambana nanyi Click to expand... Hahahahaha mkifungwa mtajificha wapi mkuu
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Oct 1, 2016 #114,808 Piga Baooooooooooooo
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Oct 1, 2016 #114,809 jerrysonkiria said: Yaah msimbazi one Click to expand... Mhhh
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Oct 1, 2016 #114,810 MKWEPA KODI said: Mkuu humu unaonekana Simba upo peke yako ni bora utoke haraka wasije kukutoa ngeu hahahahaha Click to expand... Pekee yake kivipi, wakati mm nipo hapa! Nmegundua hapa tuko mashabiki wa Simba wawili tu. Ila nawaapia, hakiyanani TUKISHINDA nitaleta fujo hapa kwa muda wa siku 2. Nitasumbua vibaya sanaaaaaa Nitatambariiiing Nitaleta majigambo Nitaringa Nitasherekea kwa ukaliiii.....!
MKWEPA KODI said: Mkuu humu unaonekana Simba upo peke yako ni bora utoke haraka wasije kukutoa ngeu hahahahaha Click to expand... Pekee yake kivipi, wakati mm nipo hapa! Nmegundua hapa tuko mashabiki wa Simba wawili tu. Ila nawaapia, hakiyanani TUKISHINDA nitaleta fujo hapa kwa muda wa siku 2. Nitasumbua vibaya sanaaaaaa Nitatambariiiing Nitaleta majigambo Nitaringa Nitasherekea kwa ukaliiii.....!
jerrysonkiria JF-Expert Member Joined Sep 5, 2014 Posts 2,228 Reaction score 2,902 Oct 1, 2016 #114,811 MKWEPA KODI said: Hahahahaha mkifungwa mtajificha wapi mkuu Click to expand... Nimeahidi kule kwenye uzi wa simba vs yanga updates tukifungwa nipigwe ban ya masaa 24 yanitosha kujificha
MKWEPA KODI said: Hahahahaha mkifungwa mtajificha wapi mkuu Click to expand... Nimeahidi kule kwenye uzi wa simba vs yanga updates tukifungwa nipigwe ban ya masaa 24 yanitosha kujificha
jerrysonkiria JF-Expert Member Joined Sep 5, 2014 Posts 2,228 Reaction score 2,902 Oct 1, 2016 #114,814 MKWEPA KODI said: Hahahahaha mkifungwa mtajificha wapi mkuu Click to expand... Sema hakuna kufungwa Leo nataka nifikishe point 7 nyuma ya yanga
MKWEPA KODI said: Hahahahaha mkifungwa mtajificha wapi mkuu Click to expand... Sema hakuna kufungwa Leo nataka nifikishe point 7 nyuma ya yanga
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Oct 1, 2016 #114,816 jerrysonkiria said: Na mimi simba naongezea nguvu Click to expand... Ssfi sana, umekuwa wa tatu sasa.
jerrysonkiria said: Na mimi simba naongezea nguvu Click to expand... Ssfi sana, umekuwa wa tatu sasa.
jerrysonkiria JF-Expert Member Joined Sep 5, 2014 Posts 2,228 Reaction score 2,902 Oct 1, 2016 #114,818 Sweetiepie said: Mhhh Click to expand... Mbona waguna Leo ni kichapo tuu