Makapuku Forum

Umenikumbusha jinsi Mark Viduka alivyosababisha ugonjwa wa moyo wa kocha wa Liverpool enzi hizo Houlier
Kuna mechi Leeds walicheza na Arsenal, walihitaji suluhu wabaki ligi kuu, Viduka akasawazisha dk za mwisho, wakabaki.

Kituko kikawa kwa commentator ambae alikuwa ni mnazi wa Leeds, jinsi alivyotangaza goli la Leeds na kumsifia Viduka. Itafute youtube ucheke...
 
Ngoja nilitafute, Bolton na Leeds walifanikiwa mara mbili kuizimisha arsenal na ndoto za ubingwa, kama unakumbuka vizuri 2002, arsenal alikuwa anaongoza kwa tofauti point kama 12 zidi ya man, hizo timu zikatibua kabisa ndoto za arsenal
 
nimeenda kuiangalia,imeandikwa Viduka vs asernal crazy commentator
 
Ngoja nilitafute, Bolton na Leeds walifanikiwa mara mbili kuizimisha arsenal na ndoto za ubingwa, kama unakumbuka vizuri 2002, arsenal alikuwa anaongoza kwa tofauti point kama 12 zidi ya man, hizo timu zikatibua kabisa ndoto za arsenal
Msimu huo sasa, Leeds anatoa suluhu 2-2 Highbury, sasa goli la pili kasawazisha Viduka.

Aisee mtangazaji alishindwa kuficha mahaba yake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…