Makapuku Forum

Shemdoe na Teacher
Teacher:who is Pharmacist
Shemdoe;(kanyoosha mkono.)
Tech:ina maana darasa lote anajua huyu tu.shika fimbo uwachape hawa vilazza,shemdoe baada kumaliza kuchapa wenzie akakaa.
Tech:haya shemdoe jibu.
Shemdoe;pharmacist is farmer who assist others
  • sasa hivi shemdoe yupo MOI wenzie hawatakagi ujinga.
 
Abunuasi Aliingia Kwa Kinyozi Na
Mtoto,
Akasema Anyolewe Nywele Na Ndevu
Alipomaliza Akasema Na Mtoto Naye Anyolewe,
Wakati Mtoto Ananyolewa Yeye
Akaaga Anaenda
Kumnunulia Mtoto Juisi,
Masaa 3 Yakapita Bila Abunuasi
Kutokea Kinyozi Akamwambia Dogo "Vipi Baba Ako
Amekusahau?"
Mtoto"Yule Sio Baba Angu Alinikuta
Njiani Akaniambia
Tuingie Hapa Tunyolewe Bure."
 
Hahahahaha
 
Hahahahaha mtoto mjanja
 
ujue haya mambo yapo.

nikiwa form two mwalimu aliwahi kutuuliwa what is "opportunity"
class zima kueleza kwa umombo hatujui ila kwa kiswahili tunajua

sasa mwal. akatangaza kupiga wote jamaa akatuokoa akanyoosha mkono, basi mwal. full kumsifia na kutuponda wengine

basi akaaambiwa aya waambie hawa vilaza jamaa akasema opportunity never come twice. ticha alimzingua mbaya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…